Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nipooooo wewe tuNina muda mrefu sijamuona huyo Mjukuu, bora umkumbushe apite kunisalimia Babu yake 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipooooo wewe tuNina muda mrefu sijamuona huyo Mjukuu, bora umkumbushe apite kunisalimia Babu yake 🤗
Mie sijamboo, vipii wee.Hujambo eng
Kwangu iko [emoji91][emoji91][emoji91]Kwangu ni vizuri,sijui kwako?
Nipoo dyadyaaa!! [emoji108][emoji108]Coca
Upo?
Sasahivi upo vizuriBado mpaka asubuhi hii naona una wenge
Decor iko [emoji91][emoji91][emoji91]weekend[emoji3526][emoji3526]
Kanisani umeenda?Nipoo dyadyaaa!! [emoji108][emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningetupia tatizo voda wamepididiwa leo[emoji2957][emoji2957]
Kwenye ile suruali nlovaa Jana mfuko wa nyuma Kuna wallet chukua kadi ya bank pin ni 2879 toa pesa venye unataka 😁😁 kikubwa shibe
Nimetokaa kanisani dyadyaa, na jana kwenye jumuia nilienda.Kanisani umeenda?
Wacha wee coca 🔥🤩Nimetokaa kanisani dyadyaa, na jana kwenye jumuia nilienda.
[emoji120][emoji120]
😃😃Thubutu sio rahisKwenye ile suruali nlovaa Jana mfuko wa nyuma Kuna wallet chukua kadi ya bank pin ni 2879 toa pesa venye unataka 😁😁 kikubwa shibe
Mwanangu hongera umeniombea nipate Hela nyingNimetokaa kanisani dyadyaa, na jana kwenye jumuia nilienda.
[emoji120][emoji120]
Kanisani au kwenye jumuia, huwa siendi na cm.Wacha wee coca [emoji91][emoji2956]
Tuone na kapicha
Nimekuombeaa shangaziii, [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Mwanangu hongera umeniombea nipate Hela nying
Kwamba haiwezekani kupewa access ya hvo?😃😃Thubutu sio rahis
Coca huyooo🔥🔥🔥Kanisani au kwenye jumuia, huwa siendi na cm.
Naona sitakua na utulivu.
Next Sunday, ntamuambia mtu kule kule anipige na cm yake, afu arushe picha kwangu, ntaweka hapaa.
Hebu jaribu kunipa nione😂😂Kwamba haiwezekani kupewa access ya hvo?