Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kanisani au kwenye jumuia, huwa siendi na cm.
Naona sitakua na utulivu.

Next Sunday, ntamuambia mtu kule kule anipige na cm yake, afu arushe picha kwangu, ntaweka hapaa.
Coca huyooo🔥🔥🔥
Safi
Kweli simu huwa zinatoa watu uweponi.


Haya Coca
Na mimi naomba ubuyu wa ini sijui figo...yaani naona tu juu juu
Eti ini ni nani?
 
Jamani tajiri wa roho
Tajiri mwenye vocha za jumla
Mwenye roho yake nzuri
Naomba kapicha tukuone
Hadi macho yanakuwa kama yana ukungu jamani
Picha adimu za boss ledi Bantu Lady zimeadimika

Tusafishe macho tajiri 🔥🔥
 
Back
Top Bottom