Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
πππ Nkamu wewe wakuadd kwenye convo ya shangazi na seleWasinisahau na mimi Nkamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Nkamu wewe wakuadd kwenye convo ya shangazi na seleWasinisahau na mimi Nkamu
Tajiriiiii tunae na tunatambaaa naee.Huyu ndiye tajiri sasa
Hadi akafungua Uzi wa vocha
Tajiri hana hela za mawazo...
Mungu kampa roho ya utoaji
Vocha zinamwagika kama mvua
Mitano tena kwake Le bosss leideee Bantu[emoji1535][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Achaa Fix, tumaa vochaaa mzee wa hall V.
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakula upepo wa bahari shoo π€£π€£π€£π€£π€£
Ulipitwaaa wapiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui kitu
Hebu niambieni na mimi huyo figo ndio nani
Nimepika mm sumbai Jamani π au hiyo foil imekuchanganya Huwa. Naweka zisipoe harakaChapati za watu wadaslam hizi, au umepika wewe laini??
Maana hizi za usiku za daslam nzuri ule zamoto zikipoa zinakuwa ngumu Kama jeanns
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had natakaa kupaliwaaa.[emoji23][emoji23][emoji23] Nkamu wewe wakuadd kwenye convo ya shangazi na sele
Alikuwa anawaomba pic za mijoka eti na walimtumia π€£π€£π€£Achaa Fix, tumaa vochaaa mzee wa hall V.
ila Figo ndo ulikua unampaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila nikikumbuka jinsi alivyo walizaa, nabakii hoiii.
Leo Sina mood kabisa nimepika chapat tu imetoka hiyo had keshoNasubiria Kwa hamu mapishi ya weekend
Sijui hataUlipitwaaa wapiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo yao itakuwa pambe sana ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had natakaa kupaliwaaa.
Tajiri pisi kaliTajiriiiii tunae na tunatambaaa naee.
Woyoooooooo, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
ππππππππππππππ Nkamu wewe wakuadd kwenye convo ya shangazi na sele
Tutaongea na shem mzungu atakuadd π€£π€£πππππππππππ
Shangazi atakubali sasa?
Tufungulie njia wizooJumapili jmn
Tunaomba pichaaaa za church π
Mzungu wa roho kaka SeleTutaongea na shem mzungu atakuadd π€£π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilionaa km 3 ila za mtu mmokoo,Alikuwa anawaomba pic za mijoka eti na walimtumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mahi pic za nyoka hujapata nikutumie uone chatu, swila, koboko [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii itakua mfulugoooo.Convo yao itakuwa pambe sana [emoji23][emoji23]