Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani nyie ndo watoaji pesa?
Nyie wenyewe huwa mnadangaga pia.
Msituchoshe😎

Mtoto wa kiume unafungaje Pm?
Waambie wenzako wafungue Pm.
Mwanaume hana pesa, hana mvuto, kazi ya maana hana,mwanamke wa maana hana.....halafu anafunga Pm
Mtakosa madili😏😏😏
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Gorgeous, stunning, breathtaking, radiant πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
_20241004_012146_.jpg
 
Kwani nyie ndo watoaji pesa?
Nyie wenyewe huwa mnadangaga pia.
Msituchoshe😎

Mtoto wa kiume unafungaje Pm?
Waambie wenzako wafungue Pm.
Mwanaume hana pesa, hana mvuto, kazi ya maana hana,mwanamke wa maana hana.....halafu anafunga Pm
Mtakosa madili😏😏😏
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mnafanana baadhi ya maeneoπŸ˜„
Halafu babe nilipita sehemu kwenye uzi wa vita kumbe mpka kule uko smart na updated.❀️
Babe wangu, habari za dunia kiujumla namimi ni marafiki πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kabla sijaanza kazi, nazipitia napenda kuzijua. Huwa tu sipendi kucomment lile jukwaa wana ushindani wa kidini na si kimataifa zaidi. Ila likinifika hapa nachangia. Unafika kwingi babe wangu πŸ₯°
 
Babe wangu, habari za dunia kiujumla namimi ni marafiki πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kabla sijaanza kazi, nazipitia napenda kuzijua. Huwa tu sipendi kucomment lile jukwaa wana ushindani wa kidini na si kimataifa zaidi. Ila likinifika hapa nachangia. Unafika kwingi babe wangu πŸ₯°
Uko vizuri Hongera sana.
Hahaa kule kuna vita mara mbili. Hiyo yenyewe na vita ya team za JF.
 
Back
Top Bottom