Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uongo ulianza lini Mkuu?Moja ya vitu unique hapa selfika ni wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo ulianza lini Mkuu?Moja ya vitu unique hapa selfika ni wewe!!
kabla ya vita ya mashariki ya kati kuzuka nilikua mtupiaji mkuu sana humu ujue.Kweli wewe mtata😂
Hivi unajua picha yako sijawahi kuona
Tupia na mimi nitupie kitambi changu
Kumbe na wewe ni shahidi eeh nilivyokuwa chawa mpambe wa mnywani wako😂😂😂kabla ya vita ya mashariki ya kati kuzuka nilikua mtupiaji mkuu sana humu ujue.
Sema ulikuwa busy ukimpatia silaha Israel avishambulie vikundi vya ugaidi vya Hezbollah na hammas
Hivi unajua hekaheka zote za humu nazijuaHujijui tu
Ndo nakujuza sasa haha.
Mali kama hizi ndugu yangu sumbai sijui hana macho kama niliyonayo
Mimi mwenyewe najua hakuna ua dui huo. bali ni kuchangamsha genge.Kumbe na wewe ni shahidi eeh nilivyokuwa chawa mpambe wa mnywani wako😂😂😂
Afu sahivi anakudanganya eti jeshi la mtu mmoja bila backup
Haya
Tupia basi nikuone.
Vita zishaisha,amani imetawala
Waliogombana washayamaliza
😃hahaha dah!!
Mwenye kiuno nyigu ni wewe tu jf nzima. Glory to God( kama umechongwa vile ujue haha
Embu tupia basi kwanza
Wote wakasomeHivi unajua hekaheka zote za humu nazijua
Mimi sijaziki😂
Huyo mzee utamuweza kweli siatakuwa anakupiga kila siku kwa jinsi alivyo mcharukoJf kuna pisi bana mi nilidhani yupo Lamomy tu naye muhangaikia usiku mchana
Kwani haumjui chino wana manKweli wewe mtata😂
Hivi unajua picha yako sijawahi kuona
Tupia na mimi nitupie kitambi changu
YahMimi mwenyewe najua hakuna ua dui huo. bali ni kuchangamsha genge.
Afu sio fair ujue
Kwanini umenigeuzia kibao.
Ladies first alywayz.
Wa afu2 akina Coca hao😂😂Wote wakasome
Watoto wa 2000 mjue mna balaa sana
NdiyoKwani haumjui chino wana man
Ndio nasubiri hapa atupie
Au tukutane live live kwenye maombezi ya passport this weekend kwa buldoza tuvuke zetu boader kabisaYah
Sasahivi amani imetawala
Tupendane tukiwa hai...kifo kipo, na wenzetu wengine walikuwepo humu tunacheka pamoja walishatangulia mbele ya haki
Hivyo tupendane kabla hatujaondoka.
....
Do me a favor Chino
Tupia basi
Unataka nianze kubembeleza sana jamani 😂
Anaanzia na sisi wa Manzese😂😂😂, tunaotaka kuzeekea Manzese hata Burundi hapo tumeshindwa kufikaAu tukutane live live kwenye maombezi ya passport this weekend kwa buldoza tuvuke zetu boader kabisa
embe linaonekana bado bichi kabisa hiliWa afu2 akina Coca hao😂😂
Sisi wengine ni wazee age ya Kina Mnywani
Naona Ina load mtandao.Anaanzia na sisi wa Manzese😂😂😂, tunaotaka kuzeekea Manzese hata Burundi hapo tumeshindwa kufika
Chino ujue umemiweka hadi muda huu nasubiri hiyo selfie
Usinizingue ujueNaona Ina load mtandao.
Kabla hapajakucha hata ukiwa umelala utaikuta pm