Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wakitoka akina Yakobo tunafuata sisiKabisaa nkamu mbinguni tuna viti vyetu special 😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitoka akina Yakobo tunafuata sisiKabisaa nkamu mbinguni tuna viti vyetu special 😹😹😹
Kutouch hips don lai, kuhudumia aaah.!! 😹😹😹KumCC tu
Hela kutoa aaanhhh
nakuja chapchap tuongee sawa mchumba..?Oysterbay karakana 😎
Angejua ile ya kitambi mmezo hadi wanaman ilimshtua sana akadhani shangazi amefunga kiroba tumboni🤣🤣🤣🤣 Na anamuaminia kweli wanaman
Hips la shangazi linatumika ndivyo sivyoKutouch hips don lai, kuhudumia aaah.!! 😹😹😹
Itakuwa TBT bana, mbona sele kasema kamtoa yupo bongo daslama 😹😹Juzi alitupia amekaa kikoti kizuri kama mama kitulano
Ila yale mazingira mbona kama bado ya Mtukula?
Ulisema ameshasogea Tz daslam
Bongo ya Bukoba labdaItakuwa TBT bana, mbona sele kasema kamtoa yupo bongo daslama 😹😹
Halafu shangazi tutafutane mi nipo bonyokwa 🤣
Shem ana macho makubwa km “NDUBWI” 😹😹😹Hiyo ni kwa mujibu wa comment za Coca..
Sasa Mimi na shem tusije pata kesi za kung'oa mtu macho
SanaChino mnafki km wanafiki wengine 🤣🤣🤣
Hapana, astaafu akubali matokeo, zama zake zimeisha 😹😹😹Bado anapambana arudi kwenye chati
Coca hata zile siti za ziada mbinguni sijui kama atapataShem ana macho makubwa km “NDUBWI” 😹😹😹
Coca nikikimkuta mbinguni namfukuzaaaa 🤣
😂😂Wifi kumbe uliselfika naomba irudiwe nikuone wii wangu mnjuri njuri 😍😍
Sema mbinguni tutamiss selfika, ujue kwa mujibu wa shetani selfika ni Channel ya motoni nkamu 🤣🤣🤣😹Wakitoka akina Yakobo tunafuata sisi
Ngoja tuendelee kumbetiaHapana, astaafu akubali matokeo, zama zake zimeisha 😹😹😹
Uje na barua ya mtendaji 😹😹nakuja chapchap tuongee sawa mchumba..?
😹😹😹 Sema kweli?!Angejua ile ya kitambi mmezo hadi wanaman ilimshtua sana akadhani shangazi amefunga kiroba tumboni
Kabisa😂😂
Wifi ni enzi hizo Selfika ilikuwa Selfika kweli, sahii mambo yamekuwa hayaeleweki kama mvua za dar..!!
Ngoja nikae kimya mimi😹😹😹 Sema kweli?!
Nishajua why shangazi hataki kutulipa NSSF zetu, kumbe na yeye sele hamlipi 😹😹😹Hips la shangazi linatumika ndivyo sivyo
Tuandamane shangazi apate matunzo
Ya chalamila nkamu 😹😹😹Bongo ya Bukoba labda