KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
for what honey..?Uje na barua ya mtendaji 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
for what honey..?Uje na barua ya mtendaji 😹😹
Chino afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini 😹😹😹Sana
Bora hata sisi tunaomchana shangazi waziwazi
Nishajua why shangazi hataki kutulipa NSSF zetu, kumbe na yeye sele hamlipi 😹😹😹
Atabaki mlangoni anaelea mbinguni hayupo, motoni hayupo na duniani anatafutwa 😹😹😹Coca hata zile siti za ziada mbinguni sijui kama atapata
Ile picha mazingira ya Bukoba kabisaYa chalamila nkamu 😹😹😹
Wifi rudia bana nasubiri hapa nikuone kipenzi changu ili nijue mtoto wangu atamfanana aunt yake au bibi yake.!! 😜😂😂
Wifi ni enzi hizo Selfika ilikuwa Selfika kweli, sahii mambo yamekuwa hayaeleweki kama mvua za dar..!!
those were the better days mama mtumishi wangu..!!Kabisa
Selfika ile wakati inanza ilikuwa ya moto🔥
Hadi leo naikumbuka picha uliyoselfika ya mkono mzuri
unataka kuona nini exactly wifi yangu..??Wifi rudia bana nasubiri hapa nikuone kipenzi changu ili nijue mtoto wangu atamfanana aunt yake au bibi yake.!! 😜
Sanathose were the better days mama mtumishi wangu..!!
Sidhani muda ushaisha yeye awe mzee wa baraza tusaidiane kutoa maoni hapa 😹😹😹Ngoja tuendelee kumbetia
Huenda akapindua meza kwa kuja kivingine
Hivi kwanza umeshaiona hiyo picha yenyewe?🤣Chino afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini 😹😹😹
Atakuja kusema yeye ni yuleyule jana leo na keshoSidhani muda ushaisha yeye awe mzee wa baraza tusaidiane kutoa maoni hapa 😹😹😹
Wewe osterbay karakana unapajua ni wapi? Au panafananaje? 😹😹😹for what honey..?
enzi hizo ilikuwa unakaa kazini kwa watu huku unafikiria utakuta nini cha kufurahisha humu threadini..!!Sana
Wadau wengi sana wameshaondoka
Ule utamu wa uzi uliokuwepo haupo tena.
Mimi mpk anilipe kwanza ndio tuelewane 😹😹Machawa OG wa shangazi ni sisi
Kama vipi shangazi aje tuyajenge tu
Asiwe mnyonge namna hii kujisemesha mwenyewe inahuu!
Mimi mpk anilipe kwanza ndio tuelewane 😹😹Machawa OG wa shangazi ni sisi
Kama vipi shangazi aje tuyajenge tu
Asiwe mnyonge namna hii kujisemesha mwenyewe inahuu!
basi njoo wewe huku unyumbuni...😅Wewe osterbay karakana unapajua ni wapi? Au panafananaje? 😹😹😹
Itakuwa aliona kweli coca hasemagi uongo mdogo angu 😹😹Hivi ksliyaona kweli hayo macho?
Maana kacoca Nako 🤣
Vyote wii 🥰unataka kuona nini exactly wifi yangu..??
Sawa ila kazeeka 😹😹😹Atakuja kusema yeye ni yuleyule jana leo na kesho