Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Babu punguza wanga bado tunahitaji uwepo wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu punguza wanga bado tunahitaji uwepo wako.
😌😌 Kusanya yote uyaulize yote. Sijachoma tetanus Vaccine hii mitaaUnalima nini shambani😊
Pole my kuwa makini miba isikuchome😌😌 Kusanya yote uyaulize yote. Sijachoma tetanus Vaccine hii mitaa
Nitajitahidi Kwa kweli, maana bado sijaandika hata urithi 😜Babu punguza wanga bado tunahitaji uwepo wako.
Hili eneo Kuna baridi sana
Vijana wa hovyo nyinyi hata ugali wa usiku bado tayari mpo site
Nataka nije nikusaidie kuvuna mazao shambani😊😌😌 Kusanya yote uyaulize yote. Sijachoma tetanus Vaccine hii mitaa
Nilimaanisha ili niingie huu Uzi lazma niwe na ganzi😂😂😂Pole my kuwa makini miba isikuchome
Usimuogope ntu humu bana wewe Mimi nitakutetea mmaaaa 😎😎😎Nilimaanisha ili niingie huu Uzi lazma niwe na ganzi😂😂😂
Nitag nione hiyo pic yako au ulifuta? 😜Pages za mwanzo tumezijaza sisi.
Zenyewe au ushaingiza ndio unatuletea 😹😹View attachment 3123287
Naomba matajiri mselfike namna hii, haya tuendelezw hili dubwana huku
Kapachino
Madame B
Bantu Lady
Lamomy
Poor Brain
Mad Max
Fake P
Vincenzo Jr
Mbaga Jr
😹😹😹 mi staki kabeesaa babu yangu ufe na baridi, lazima nikusaidie kukuitia kina bibiBora unisaidie kuniitia
😹😹😹 Ehhh ushaanza kunipachika kwa viumbe wazito!!
😹😹😹Hivi siku hizi baunsa wako wa kukuamulia ugomvi Lamomy anapotea potea.
Kuna Siku atakukuta umeshachezea ndoige za kutosha.
Haha sijui itakuaje
🤣🤣🤣 basi ntakutafutia miwani uone chinoTatizo umempofua chino mbele haoni zaidi yako
Koh Koh koh 😹😹Leo hujaenda?😂
😹😹😹Hivi watu waliofurahi
Wanajisikiaje kuona kapo yenu imerudi?
Atulipe kwanza kwa kazi tuliyomfanyia ndo tujue km bossledi au red carpet 🤣🤣🤣😹Kwani siyo Bossledi sasa?😂