Sema jina Young Africans limekaa unyama sana

Sema jina Young Africans limekaa unyama sana

Utopolo ni Wasahaulifu Sana...!

Ngoja niwakumbushe...!

Nyie Utopolo mpo Shirikisho..!
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..
Shirikisho..

Huko ndiko Ma losers Wamerundikana..!
Yajueni Mashindano munayoshiriki Kwanza..!
 
hakuna timu inaitwa young Africa nyinyi ni YANGA mahindi ya njano aka amphibians au utopyinyo
 
Na nembo yenu ya mwenge 😅😂😅

Halafu mbona naona wadada wawili wanacheza mpira, hivi hamna wanaume wachezaji huko ukimuacha huyo Mandonga hapo?
Sports club maana yake nini!?
 
Utachanganyaje timu zilizofuzu makundi Champions League na zile zilizotolewa mashindanoni? Mfaano mzuri, katika CAF Champions League, Zalan ilitolewa mashindanoni, halafu kuna timu kama Yanga nayo ilitolewa mashindanoni. Kwa ufupi, Yanga na Zalani walitolewa katika mashindano ya CAF Champions League. Sasa iweje kuanza kusema mashindano ya CAF, ili uonekane na wewe upo upo?
Nilidhani rage alikurupuka kuwaita mbumbumbu, CAF huandaa afcon,youth tournaments, champions league, confederation league nk
 
Tatizo umeanza kufuatilia soka mwaka huu
Simba haijawahi kutumia VAR popote tangu inzishwe. Si wakati ikitwa Queen [emoji146], Sunderland au Simba. Kama unauhakika Lini walitumia VAR tukumbushane.
 
Back
Top Bottom