ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sawa mamaNilimuchomekea baba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mamaNilimuchomekea baba yako
DundukaUtopolo ni wajinga sana, badala ya kujisifia wapo hata kwenye timu 10 bora Africa, wenyewe wanawaza majina
Una bange nyingi sana tena ile ya Tarime.Na nembo yenu ya mwenge [emoji28][emoji23][emoji28]
Halafu mbona naona wadada wawili wanacheza mpira, hivi hamna wanaume wachezaji huko ukimuacha huyo Mandonga hapo?
Kula malimao uponyeshe kichefuchefu cha mimba changa inayokusumbua .Hakuna neno Dar! Acheni ushamba nyie wa Dar. Mbona nembo iko wazi
Madunduka a k a Makolohakuna timu inaitwa young Africa nyinyi ni YANGA mahindi ya njano aka amphibians au utopyinyo
Al shabaabul afriqiyahHivi hili jina kwa kiarabu linatamkwaje?
Sports club maana yake nini!?Na nembo yenu ya mwenge 😅😂😅
Halafu mbona naona wadada wawili wanacheza mpira, hivi hamna wanaume wachezaji huko ukimuacha huyo Mandonga hapo?
Simba ilitumia var lini!?.. waulizeni berkanenajua sana na mengine Simba Queens ilifika hadi nusu fainali ikawa timu ya pili nchini kutumia VAR baada ya Simba SC
Nilidhani rage alikurupuka kuwaita mbumbumbu, CAF huandaa afcon,youth tournaments, champions league, confederation league nkUtachanganyaje timu zilizofuzu makundi Champions League na zile zilizotolewa mashindanoni? Mfaano mzuri, katika CAF Champions League, Zalan ilitolewa mashindanoni, halafu kuna timu kama Yanga nayo ilitolewa mashindanoni. Kwa ufupi, Yanga na Zalani walitolewa katika mashindano ya CAF Champions League. Sasa iweje kuanza kusema mashindano ya CAF, ili uonekane na wewe upo upo?
Hawajui hata maana yake maskini utopolo[emoji1787]Waafrica wadogo... hahhahahah
Kwasababu kwetu hakuna wazee. Onyango,BokoWaafrica wadogo... hahhahahah
Tatizo umeanza kufuatilia soka mwaka huuSimba ilitumia var lini!?
Alshabab Al'afariqaHivi hili jina kwa kiarabu linatamkwaje?
Simba haijawahi kutumia VAR popote tangu inzishwe. Si wakati ikitwa Queen [emoji146], Sunderland au Simba. Kama unauhakika Lini walitumia VAR tukumbushane.Tatizo umeanza kufuatilia soka mwaka huu