Lini uliona timu ya netball ya uto au mwanandondi wa uto? Hiyo ni logo uchwara mngekuwa mnajielewa mngeibadili.Sports club maana yake nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini uliona timu ya netball ya uto au mwanandondi wa uto? Hiyo ni logo uchwara mngekuwa mnajielewa mngeibadili.Sports club maana yake nini!?
Kwa umri wangu niliziona,kipindi hicho ndondi zinatangazwa redioniLini uliona timu ya netball ya uto au mwanandondi wa uto? Hiyo ni logo uchwara mngekuwa mnajielewa mngeibadili.
Nafuatilia soja tangu enzi za akina mziba,makelele,makumbi juma na chumila,Simba haijawahi tumia var Bali imewahi cheza var ikiwepo uwanjaniTatizo umeanza kufuatilia soka mwaka huu
Hebu wafikirie waswahili wa 1940s wanapisikia timu inaitwa 'young africans' wataitamkaje kwa kufupishaHivi nini asili na maana ya jina YANGA
Labda simbaqueen kule MoroccoNafuatilia soja tangu enzi za akina mziba,makelele,makumbi juma na chumila,Simba haijawahi tumia var Bali imewahi cheza var ikiwepo uwanjani
DuuuuHamna mashindano ya CAF wewe
Simba vs Orlando pirate penalty ulitoa ww?Nafuatilia soja tangu enzi za akina mziba,makelele,makumbi juma na chumila,Simba haijawahi tumia var Bali imewahi cheza var ikiwepo uwanjani
Kwani man yu imetoka wapiSasa Yanga imetokea wapi
Watu wajinga kama hawa una waacha tu, mechi ya Dar na Pirates VAR ilikua mbovu, hata South Africa haikutumika , Rage aliona mbali sanaSimba haijawahi kutumia VAR popote tangu inzishwe. Si wakati ikitwa Queen [emoji146], Sunderland au Simba. Kama unauhakika Lini walitumia VAR tukumbushane.
Leta clip hapa ya VARSimba vs Orlando pirate penalty ulitoa ww?
Tatizo wewe ni mbishi,,,Mimi Kaz yangu sio mtunza clip but VAR ilikuepo na hata SA kad ya Mugalu iliamuliwa na VAR maana refa hakuonaLeta clip hapa ya VAR
Muongezee na GunnersKwani man yu imetoka wapi
Ubishi upo wapi Pirates walilalamika goli waka mwambia refa aende kwenye VAR waka ambiwa ni mbovuTatizo wewe ni mbishi,,,Mimi Kaz yangu sio mtunza clip but VAR ilikuepo na hata SA kad ya Mugalu iliamuliwa na VAR maana refa hakuona
Ni vizuri naendelea kukumbuka ndo maana sisi bado tunafundishana historia mashule wenzetu washasahauMimi huwa nakumbuka sana adhabu hii ya mwaka 1998