Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Subiri zishuke bei na wewe ununue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu tuna fanya vitakuja vitufanye tujutie Sana baadae kipindi ambapo tutakuwa hatuma nafasi ya kuviepuka TenaSalaam wakuu!
Nimeambiwa na nikaenda kwa vendor mmoja akaniambia kabisa iPhone 16 promax 1TB ni milioni sita na laki nane za kitanzania.
NB; Najua hapa kuna comment zinakuja na wataniambia "tafuta hela dogo"
Unapata wapi nguvu ya kununua simu milioni saba kasoro na huna professional yoyote.
Jamani watu mnatoa wapi hela.
Nawasilisha. Ila nimeumia sana.
Wewe lazima uniwaze,Punguza stress dogo Maisha yanahitaji kujituma sio blah blah hizi.Wataanza na huyu The Legacy
Masikini anamshauri Tajiri ajitume. Kazi kweli kweli Kudadadeki.Wewe lazima unawaze,Punguza stress dogo Maisha yanahitaji kujituma sio blah blah hizi.
Mimi kweli ni Maskini.Masikini anamshauri Tajiri ajitume. Kazi kweli kweli Kudadadeki.
Na Mimi ni Kweli Tajiri.Mimi kweli ni Maskini.
Hahaha GTNawaona wale ambao watafunyuliwa sana mtaro kisa hiyo sim au unasemaje mwanangu wa ukweli GENTAMYCINE
Ova
Mkuu mimi nimeshashuhudia kabisa kwa macho yangu ( naked eyes) mke wa mtu akifumuliwa marinda kwa ajili ya iphone 13 wala siyo uwongo na jamaa alimnunulia kwa kulipia instalments kwa miezi 36.Nawaona wale ambao watafunyuliwa sana mtaro kisa hiyo sim au unasemaje mwanangu wa ukweli GENTAMYCINE
Ova
Ni kweli wanafukunyuliwa sanaMkuu mimi nimeshashuhudia kabisa kwa macho yangu ( naked eyes) mke wa mtu akifumuliwa marinda kwa ajili ya iphone 13 wala siyo uwongo na jamaa alimnunulia kwa kulipia instalments kwa miezi 36.
mi nimelia kabisaSalaam wakuu!
Nimeambiwa na nikaenda kwa vendor mmoja akaniambia kabisa iPhone 16 promax 1TB ni milioni sita na laki nane za kitanzania.
NB; Najua hapa kuna comment zinakuja na wataniambia "tafuta hela dogo"
Unapata wapi nguvu ya kununua simu milioni saba kasoro na huna professional yoyote.
Jamani watu mnatoa wapi hela.
Nawasilisha. Ila nimeumia sana.
Chabo ulikuwa unapiga ukiwa darini au dirishani?Mkuu mimi nimeshashuhudia kabisa kwa macho yangu ( naked eyes) mke wa mtu akifumuliwa marinda kwa ajili ya iphone 13 wala siyo uwongo na jamaa alimnunulia kwa kulipia instalments kwa miezi 36.
Hahaha GT umenifanya nicheke kwa sauti sana usiku huu.Chabo ulikuwa unapiga ukiwa darini au dirishani?
Ulikuwa unapiga CHABO au?Mkuu mimi nimeshashuhudia kabisa kwa macho yangu ( naked eyes) mke wa mtu akifumuliwa marinda kwa ajili ya iphone 13 wala siyo uwongo na jamaa alimnunulia kwa kulipia instalments kwa miezi 36.
Hivi milioni 6 Tshs kwa pesa za huko Tel Aviv Israel ni Shekel ngapi?Nilinzungusha fensi kiwanja cha 20x30 kwa million 6
Kama buku nane hiviHivi milioni 6 Tshs kwa pesa za huko Tel Aviv Israel ni Shekel ngapi?