Sema maisha yanaenda kasi sana, hivi ni kweli iPhone 16 Promax kwa hapa bongo ni 6,800,000/=

Kuna vitu tuna fanya vitakuja vitufanye tujutie Sana baadae kipindi ambapo tutakuwa hatuma nafasi ya kuviepuka Tena

kwani tutakuwa tumeondoka kwenye ulimwengu huu ambao tunauishi sasa/ulimwengu wa ulibukeni na ujana na kwenda na wakati

Mungu atupe uoni wa kifikra
 
mi nimelia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…