Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hakuna wajinga wnajiona wamepatia kama mnaochora haya mamistari kweny mt4&mt5 ...Nikuambie hapo unapoteza mda forex tumefanya sana bila kujifanya mtu wa viwanja na kuwa na pesa hupati wanafunzi wa kuwapiga pesa ng'o ,Utaendelea kuwa na ndoto za kushika pesa ndefu ukijdanganya kwamba unakuwa na trading plan & consistent .
Hata ufanyaje forex kwa sokoni ni more than gambling .
Utakuja na hoja za kitoto ntakupa code zote za forex ambazo hujawai kuambiwa na mentor wako anayekucoach.