Kwahyo mwamba alikuwa anajipigia mapande tu.Si huyu.Mwenye Kebby yupo mjengoni bungeni.
pas vraiment en fait ce sont mes affairesπT'as peur mon frero.π
Tiririkeni ya kutoka moyoni
Aliefinyiwa kwa ndani ndie anaujua ukaliwake...ππMbona pisi ya kawaida sana
Mimi ningejiongeza....πππ.Tiririkeni ya kutoka moyoni
Naskia kuna bagosha amefika mwisho hapo, hata akaona aseme tu hadharani kwamba "hana raha na mke wake"...ππππHapana Victoire kwanza sioni uzuri wowote pili ni lazima kuheshimu nidhamu ya kazi na hivyo kutofanya lolote lile ambalo ni kinyume na taratibu za kazi na zinaweza kabisa kukufukuzisha kazi na hata kufunguliwa mashtaka kortini.
hamna wivu hapo, sie wanaume huwapa chochote kilicho ndani ya uwezo wetu wanawake tulowapenda hata kama ni wakawaida.Wivu tu.
Mbona pisi ya kawaida sana