Semeni ukweli, kwa pisi hii, wewe ndo ungekuwa waziri wa ujenzi kipindi cha Mkapa usingemgawia nyumba ya serikali?

Kwahyo mwamba alikuwa anajipigia mapande tu.
Ile hotel ni kweli alimjengea au stori za watu tu?
Mwenye hoteli ni pisi nyingine. Ama kweli mapenzi yanagawanyika.
 
Hapana Victoire kwanza sioni uzuri wowote pili ni lazima kuheshimu nidhamu ya kazi na hivyo kutofanya lolote lile ambalo ni kinyume na taratibu za kazi na zinaweza kabisa kukufukuzisha kazi na hata kufunguliwa mashtaka kortini.
Naskia kuna bagosha amefika mwisho hapo, hata akaona aseme tu hadharani kwamba "hana raha na mke wake"...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…