Semeni ukweli, kwa pisi hii, wewe ndo ungekuwa waziri wa ujenzi kipindi cha Mkapa usingemgawia nyumba ya serikali?

Semeni ukweli, kwa pisi hii, wewe ndo ungekuwa waziri wa ujenzi kipindi cha Mkapa usingemgawia nyumba ya serikali?

Tiririkeni ya kutoka moyoni
Hizi utaziitaje kwa lugha ya kwenuView attachment 1647488
JamiiForums-419994757~2.jpg
 
Mbona hata Demu wangu ninae muhudumia kwa budget ya elfu 20 kwa mwezi ni mzuri kuliko yeye
 
Naelewa hilo ni uthibitisho wa kuanguka maadili ya kazi. Na Mkapa alihusika sana na hilo kwani alifanya biashara na mkewe hadi ndani ya Ikulu. Kuna nyumba ya Serikali pale karibu na Aga Khan hospital ni nzuri sana na Mkapa alikuwa akiimezea mate na hivyo kuja na uhuni wake ulioshirikisha baraza la Mawaziri lakini wengi waliopata nyumba zile kifisadi na kuliingizia Taifa hasara ya zaidi ya trilloni 4 hadi leo hawajulikani.
Waziri wa ujenzi wa Mkapa hakufukuzwa kazi. Na nyumba ya serikali alihonga.
 
Hapana Victoire kwanza sioni uzuri wowote pili ni lazima kuheshimu nidhamu ya kazi na hivyo kutofanya lolote lile ambalo ni kinyume na taratibu za kazi na zinaweza kabisa kukufukuzisha kazi na hata kufunguliwa mashtaka kortini.
Sasa mbona Mbowe ana boronga pale chadema sababu ya mapenzi na uko kimya?
 
Naelewa hilo ni uthibitisho wa kuanguka maadili ya kazi. Na Mkapa alihusika sana na hilo kwani alifanya biashara na mkewe hadi ndani ya Ikulu. Kuna nyumba ya Serikali pale karibu na Aga Khan hospital ni nzuri sana na Mkapa alikuwa akiimezea mate na hivyo kuja na uhuni wake ulioshirikisha baraza la Mawaziri lakini wengi waliopata nyumba zile kifisadi na kuliingizia Taifa hasara ya zaidi ya trilloni 4 hadi leo hawajulikani.
Mbona wanajulikana sema ndo hao leo wana madaraka.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom