Semeni ukweli, kwa pisi hii, wewe ndo ungekuwa waziri wa ujenzi kipindi cha Mkapa usingemgawia nyumba ya serikali?

Semeni ukweli, kwa pisi hii, wewe ndo ungekuwa waziri wa ujenzi kipindi cha Mkapa usingemgawia nyumba ya serikali?

Hii mboga ya kawaida labda kuna vitu adimu alikuta ndani ya kyupi
 
Inadaiwa hivyo Mkuu sasa jamaa kanuna uongo mwingi blah blah blah na kuruka na TANAPA kumbe jamaa kamvua picchu manzi wake. Kuna wengine kawaacha kwenye baraza haramu la mawaziri hatusikii kuwasema sababu za kuwaacha ila kamshupalia Kigwa 😂😂😂😂😂 kuchapiwa kubaya na binti imemkosesha Ubunge wa viti maalum na labda hata uwaziri.
nasikia jamaa aliyekuwa anaruka na TANAPA naye kagusa, hayumo kibarazani tena
 
Back
Top Bottom