Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Seneta wa West Virginia wa Chama Cha Democrat, Joe Manich, amemtaka rais Biden kuongeza uzalishaji wa nishati wa Marekani ili kuiepusha Marekani kuendelea kuitegemea mafuta na gesi ya Russia, akiishutumu Ikulu ya White House kuweka sera za kinafiki.
Seneta huyo kasema Marekani yaingiza (yanunua) toka Russia takribani barrels 500,000 (sawa na lita 79,000,000 yaani lita milioni 79) ya bidhaa za mafuta kwa mwezi, hali ambayo yahatarisha usalama wa Marekani (utegemezi wa nishati kwa russia).
Wakati waMarekani wakilalamikia kinachoendelea nchini Ukraine, Marekani inaendelea kuingiza (kununua) kila siku zaidi ya lita milioni 79 kwa siku za bidhaa za mafuta toka Urusi ktk kipindi hiki cha vita. Jambo hili haliingii akilini na limadhihirisha wazi hatari tuliyonayo ktk maswala ya nishati.
======
www.washingtonexaminer.com
Sen. Joe Manchin called on President Joe Biden to ramp up domestic energy production to curtail the United States's reliance on Russian oil and gas imports, accusing the White House of pushing “hypocritical” policies.
The West Virginia Democrat said in a statement late Monday that the U.S. importing about a half-million barrels of oil products from Russia a month poses a “clear and present danger to U.S. national security."
Many Republicans have said in recent days that Russia's aggression vindicates the case for added U.S. production of fossil fuels, but it's unusual for a member of Biden's own party to make the same argument. Manchin, though, has long favored fossil fuel production and has been skeptical of his party's regulatory agenda.
“While Americans decry what is happening in Ukraine, the United States continues to allow the import of more than half a million barrels per day of crude oil and other petroleum products from Russia during this time of war,” Manchin said. "This makes no sense at all and represents a clear and present danger to our nation’s energy security."
Seneta huyo kasema Marekani yaingiza (yanunua) toka Russia takribani barrels 500,000 (sawa na lita 79,000,000 yaani lita milioni 79) ya bidhaa za mafuta kwa mwezi, hali ambayo yahatarisha usalama wa Marekani (utegemezi wa nishati kwa russia).
Wakati waMarekani wakilalamikia kinachoendelea nchini Ukraine, Marekani inaendelea kuingiza (kununua) kila siku zaidi ya lita milioni 79 kwa siku za bidhaa za mafuta toka Urusi ktk kipindi hiki cha vita. Jambo hili haliingii akilini na limadhihirisha wazi hatari tuliyonayo ktk maswala ya nishati.
======
Manchin fumes as US buys 500,000 barrels of Russian oil a day amid Ukraine war - Washington Examiner
Sen. Joe Manchin called on President Joe Biden to ramp up domestic energy production to curtail the United States's reliance on Russian oil and gas imports, accusing the White House of pushing “hypocritical” policies. The West Virginia Democrat said in a statement late Monday that the U.S...
Sen. Joe Manchin called on President Joe Biden to ramp up domestic energy production to curtail the United States's reliance on Russian oil and gas imports, accusing the White House of pushing “hypocritical” policies.
The West Virginia Democrat said in a statement late Monday that the U.S. importing about a half-million barrels of oil products from Russia a month poses a “clear and present danger to U.S. national security."
Many Republicans have said in recent days that Russia's aggression vindicates the case for added U.S. production of fossil fuels, but it's unusual for a member of Biden's own party to make the same argument. Manchin, though, has long favored fossil fuel production and has been skeptical of his party's regulatory agenda.
“While Americans decry what is happening in Ukraine, the United States continues to allow the import of more than half a million barrels per day of crude oil and other petroleum products from Russia during this time of war,” Manchin said. "This makes no sense at all and represents a clear and present danger to our nation’s energy security."