Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Usahihi ni upi?Millard Ayo kakosea hizo namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usahihi ni upi?Millard Ayo kakosea hizo namba
Hebu wewe msahihishe.Amekosea tu!
Zenji yote idadi ya watu ni milioni 1.8Usahihi ni upi?
Zanzibar wako 1,800,000 na usheeMilion 8 ni uwongo, labda iwe ni makosa ya kiuandishi
Ni laki 8...Usahihi ni upi?
Na Kaskazini Pemba eti ina wakazi milioni 2! Labda kaandika under influence.Millard kaandika mil 8
Hapa ni lak 8 kwa laki 2, sio milion 8 kama ilivyoandikwa atakuwa amekoseaMkoa wa Mjini Magharibi(Zanzibar City) ndio Jiji kuu hapo visiwani! Hivyo kuwa na wakaazi laki nane sio ajabu kabisa!
Uko sahihi kabisa. Tunazo pande mbili za Tanzania. Tanzania bara na Tanzania visiwani.Hakuna mahali duniani panaitwa Tanzania Zanzibar, ni uhuni tu wa wanasiasa.
Huku basi tuite Tanzania Dar es salaam au Tanzania Tanganyika
View attachment 2403155
Mikoa ya zanzibar ina inawatu wengi kuliko mikoa ya Tanzania bara?
Kumbe Pemba yote inaweza isifikishe wakazi laki 5; lakini wana wabunge wengi kuliko mikoa ya Dar na Mwanza kwa pamoja.Hapa ni lak 8 kwa laki 2, sio milion 8 kama ilivyoandikwa atakuwa amekosea
Kuna mdau anasema huko kuna mkoa una wakazi 27,000 😆😆Zanzibar haina watu million 2.
chochezi huyo. Zanzibar ni less than 2 M nchi nzimaMillard kaandika mil 8
Kumbe Pemba yote inaweza isifikishe wakazi laki 5; lakini wana wabunge wengi kuliko mikoa ya Dar na Mwanza kwa pamoja.
Uwakilishi usio wa haki, wa kinyonyaji.
Kaskazini Pemba, Wabunge 9Kumbe Pemba yote inaweza isifikishe wakazi laki 5; lakini wana wabunge wengi kuliko mikoa ya Dar na Mwanza kwa pamoja.
Uwakilishi usio wa haki, wa kinyonyaji.
Kusini Pemba ina wakazi wangapi?Kaskazini Pemba, Wabunge 9
Kusini Pemba, Wabunge 9
Jinai ya kimtandao inamhusu 😆😆M
chochezi huyo. Zanzibar ni less than 2 M nchi nzima
Nilipokua shule ya msingi 1988,Zanzibar ilikua na mikoa mi5Kwani Zanzbr Inamikoa mingap jaman?