900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
kuuliza c ujinga ila kuuliza sana ni upumbafuUmeishia darasa la ngapi!!?
nimeuliza kwa Nia njema tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuuliza c ujinga ila kuuliza sana ni upumbafuUmeishia darasa la ngapi!!?
nimeuliza kwa Nia njema tu mkuu
Millard kaandika mil 8Mkoa wa Mjini Magharibi(Zanzibar City) ndio Jiji kuu hapo visiwani! Hivyo kuwa na wakaazi laki nane sio ajabu kabisa!
Imeandikwa milioni nane, si laki nane.Mkoa wa Mjini Magharibi(Zanzibar City) ndio Jiji kuu hapo visiwani! Hivyo kuwa na wakaazi laki nane sio ajabu kabisa!
Amekosea tu...! Zanzibar nzima ni milioni 1 laki nane hivi...Millard kaandika mil 8
Mikoa 12.Kwani Zanzbr Inamikoa mingap jaman?
Kuna mkanganyiko mkubwa sanaImeandikwa milioni nane, si laki nane.
Siamini kama nchi yote ya Zanzibar inafikisha wakazi milioni tano
.
Mitano; Unguja 3 Pemba 2Kwani Zanzbr Inamikoa mingap jaman?
Amekosea tu!Imeandikwa milioni nane, si laki nane.
Siamini kama nchi yote ya Zanzibar inafikisha wakazi milioni tano
.
Hiko chanzo cha serikali kiweke hapa usiongee mambo juujuuKwanini usijiongeze kwa kufata chanzo cha serikali?
Sawa mdosi Kibunango.Amekosea tu!