Ilitegemewa.
Dar imeizidi Mwanza watu 1.4mil
Tatizo la Mwanza watu wengi hawako Mwanza mjini
Overal ya makabila wasukuma wanaongoza miaka yote kwa idadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilitegemewa.
Dar imeizidi Mwanza watu 1.4mil
Tatizo la Mwanza watu wengi hawako Mwanza mjini
Matumizi yote ... matibabu Sawa..maji Sawa na masherehe pia sawaPesa hizo pia zukitibu wagonjwa au kupeleka maji kijijini kipi nafuu sasa
Kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, nawatangazia kuwa Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120.
Na watu wote wa nigeria 300+M ni sawa na watu wasio na elim india [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wote wa Tanzania 61m ni sawa na idadi ya watu waishio mjini Lagos-Nigeria [emoji23]
Nachoshukuru Mwanza ni the second Asanteni Mwanza
Mbona kama hesabu hii iinapingana na uhalisia na sayansi pia? iweje wanawake na wanaume tupishane kwa gap ndogo hivyo? wanawake walipaswa kuwa 55% wanaume 48% atleast.
Wazee tuchakate mbususu tusitegeane mazee huoni matokeo ya sensa yametoka
Faida zake ni zipi?
Acha roho ya kimaskini tafuta fursa uwe miongoni mwao maisha ya hivi yatafanya upate magonjwa ya sononaHivi angeitisha tu Press conference pale Ikulu kwa ajili ya kuutangazia umma kilichomo kwenye taarifa ya sensa akiambatana na maafisa wawili watatu wa takwimu na Msemaji wa ikulu KUNGEKUWA NA SHIDA GANI?
kulundika watu wote hao na kuwalipa per diem huku V8 zikiunguruma na tayari Taifa lina mahitaji meeengi sana ni kushindwa kufikiri vizuri.
Utakwepaje neno hili wakati watu wanakufa na kuzaliwa kila siku!takribani
Dar es Salaam, DSM, Bongo sidhani kama itakuja kuacha kuongoza kwani waliopo wanazaliana na wengine wanaamia kwa kasi!Tanzania bara, mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.
We jamaa muongo na mpotoshajiWatu wote wa Tanzania 61m ni sawa na idadi ya watu waishio mjini Lagos-Nigeria [emoji23]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitangaza Matokeo ya Sensa na Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 31 Oktoba...
Wewe TISS kwanini unawahi kutoka kabla ya kumaliza kazi?Nawasalimu kwà jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Asee huku sio poa kabisa. Nipo uwanjani hapa, jua kali kinoma, sauti ndogo, bora nitoke nikatizame kwenye Tv
Naamini kwenye tv mtakua mnaenjoy sana.
Population Vs vituo vya kutolea huduma za afya inafikirisha sana daahHuu uzinduzi nao mmeupangia bajeti?
Acha roho ya kimaskini tafuta fursa uwe miongoni mwao maisha ya hivi yatafanya upate magonjwa ya sonona