Hujui kuwa kabla ya kutangaza matokeo leo usiku kuna watu wamekufa 😁😁😁🤣 labda kawatoa hao.Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kuwa kabla ya kutangaza matokeo leo usiku kuna watu wamekufa 😁😁😁🤣 labda kawatoa hao.Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130
Wanazidiwa na Mbagalayaani wazanzibari hawafiki hata 2mil lakini wanakelele kama vile wako 70 mil...muungano tulionao ni wa ajabu sana
Nikweli, kamanchi tuko kwenye hatari ya njaa kali huku viongozi wanaitana eti kusoma taarifa... shame!!Hivi angeitisha tu Press conference pale Ikulu kwa ajili ya kuutangazia umma kilichomo kwenye taarifa ya sensa akiambatana na maafisa wawili watatu wa takwimu na Msemaji wa ikulu KUNGEKUWA NA SHIDA GANI?
kulundika watu wote hao na kuwalipa per diem huku V8 zikiunguruma na tayari Taifa lina mahitaji meeengi sana ni kushindwa kufikiri vizuri.
Mtaachaga lini kulalamika? Kutwa kucha... Wewe umetimiza ya familia yako yote?Naamini kutakuwa na takwimu sahihi kwa maendeleo na mgawanyo sahihi wa keki ya taifa. Kipindi cha mwendazake si ajabu takwimu zingepikwa ili tu chattel ionekane ina watu wengi. Ili iwe mkoa na hatimaye jiji.. (Apumzike panapo mstahili)
PS
Mkoa kama wa Mbeya, una wakazi wengi, una changia Pato la serikali kwa kiasi kikubwa. Ila hamna barabara "double road"
Miundombinu duni, mji haujapangika, ardhi wana pima viwanja halafu wanapotea.. Umeme, maji, barabara kazi kwa wanunuzi kukarabati, Rejea viwanja vya iduda, mbeya peak, isyesye.
Kuenjoy nini hasaNawasalimu kwà jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Asee huku sio poa kabisa. Nipo uwanjani hapa, jua kali kinoma, sauti ndogo, bora nitoke nikatizame kwenye Tv
Naamini kwenye tv mtakua mnaenjoy sana.
Afadhali leo hujasema "Bavicha bhana!"😁Wabongo bhana!
Data zako uhalali wake wa kisheria na kitaaluma ni upi hadi uchallenge za Mhe. Rais? Tuwekee hapa.🙏🙏🙏Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Pesa hizo pia zukitibu wagonjwa au kupeleka maji kijijini kipi nafuu sasaHuko unakoita kufuja pesa nako kunachochea uchumi.
Imagine wewe Leo ingekuwa kampuni yako inalipwa kutokana na mapambo Tu ya event husika, ungesema kuna ufujaji? serikali ikitumia hela zinarudi Kwa wananchi...ni Bora government spending kuliko kubana bana matumizi kupita kiasi
Fertility rate inaongezea,last sensa ilikuwa 2.7 na Kwa hesabu za Leo iko 3.2 so inazidi kuongezeka maana vijana ni wengi na wanaokufa wanakuwa wachache..Huo ni uongo mkubwa, yani ety kutoka 2025 mpaka 2050 tuwe zaidi ya watu 150m 😳 yani kwa miaka 10 watu wameongezeka 10m sasa kwa miaka 25 itakuaje waongezeke watu 60m.? Watu mnaleta siasa hadi kwenye uhalisia.
Ulitumia kiungo gani kusikia?Huo ni uongo mkubwa, yani ety kutoka 2025 mpaka 2050 tuwe zaidi ya watu 150m [emoji15] yani kwa miaka 10 watu wameongezeka 10m sasa kwa miaka 25 itakuaje waongezeke watu 60m.? Watu mnaleta siasa hadi kwenye uhalisia.