HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
UmekoseaYaani kutangaza tu idadi, mpaka budget.Hii nchi bwana. Miaka kumi ijayo tutakuwa million 100 . Maweeeee kwa huduma zipi za jamii ????
Watu milioni 100+ itakuwa 2050
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmekoseaYaani kutangaza tu idadi, mpaka budget.Hii nchi bwana. Miaka kumi ijayo tutakuwa million 100 . Maweeeee kwa huduma zipi za jamii ????
Mbona kama hesabu hii iinapingana na uhalisia na sayansi pia? iweje wanawake na wanaume tupishane kwa gap ndogo hivyo? wanawake walipaswa kuwa 55% wanaume 48% atleast.Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote.
Ilitegemewa.Nachoshukuru Mwanza ni the second Asanteni Mwanza
Haya fanya mahesabu yako weweMbona kama hesabu hii iinapingana na uhalisia na sayansi pia? iweje wanawake na wanaume tupishane kwa gap ndogo hivyo? wanawake walipaswa kuwa 55% wanaume 48% atleast.
Hiyo kumi iliyozidi siyo ishu kiviiiileRais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Sio kwamba kakosea kusoma, au mkubwa hakosei?Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Wewe hiyo ya kwako imeipata wapi? Kwani hiyo tofauti ina impact youote au ?Rais kadanganywa kwenye namba Jumla ni 61,741,130 na sio 61,741,120
Yaleyale ya Makamba!
Mimi na Madereva wenzangu tisa hatujahesabiwa kwahiyo hiyo namba iko sawa.61,741,130
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitangaza Matokeo ya Sensa na Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 31 Oktoba, 2022
Samia Suhuhu Hassan - Rais
Nataka niitangazie dunia kuwa Sensa ya watu na makazi ya 2022 imefuata vigezo vilivyowekwa na umoja wa mataifa.
Tumeandika historia kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru, tumeweza kupata idadi ya majengo yote pamoja na anwani za makazi.
Leo hii tumefika ukingoni mwa zoezi la sensa tulilofanya kwa ufanisi mkubwa. Sensa hii imefuata vigezo vyote vya kimataifa.
Kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, nawatangazia kuwa Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120.
Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar.
Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote.
Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni sawa na asilimia 3.2
Tanzania bara, mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.
Idadi ya mejengo ni 14,348,372
Upande wa shule, zipo 25,626 ambapo shule za msingi zipo 19,769 na shule za sekondari zipo 5857
Makadirio yanaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa na watu 67,962,097 na hadi kufikia mwaka 2050 idadi itafikia 151,252,429.
Asanteni kwa kunisikiliza, Mungu aibariki nchi yetu, Mungu aibariki Afrika. Asanteni sana kwa kunisikiliza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitangaza Matokeo ya Sensa na Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 31 Oktoba, 2022
Samia Suhuhu Hassan - Rais
Nataka niitangazie dunia kuwa Sensa ya watu na makazi ya 2022 imefuata vigezo vilivyowekwa na umoja wa mataifa.
Tumeandika historia kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru, tumeweza kupata idadi ya majengo yote pamoja na anwani za makazi.
Leo hii tumefika ukingoni mwa zoezi la sensa tulilofanya kwa ufanisi mkubwa. Sensa hii imefuata vigezo vyote vya kimataifa.
Kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, nawatangazia kuwa Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120.
Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar.
Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote.
Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni sawa na asilimia 3.2
Tanzania bara, mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.
Idadi ya mejengo ni 14,348,372
Upande wa shule, zipo 25,626 ambapo shule za msingi zipo 19,769 na shule za sekondari zipo 5857
Makadirio yanaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa na watu 67,962,097 na hadi kufikia mwaka 2050 idadi itafikia 151,252,429.
Asanteni kwa kunisikiliza, Mungu aibariki nchi yetu, Mungu aibariki Afrika. Asanteni sana kwa kunisikiliza.
Zetu ndio sahihi sasa,hao worldometer ndio wanatakiwa kuleta uthibitisho wa Takwimu zao.Hizi takwimu zetu daah😵. nilitarajia tuwe zaiidi ya m65 hapa wordometer data ya 2020 inasema tuko 63M. something is wrong somewhere
Mimi ni mtazamo wangu.Umekosea
Watu milioni 100+ itakuwa 2050