Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Basi sawa😅Hakuna cha bure ! Watu lazima wale chakula 😅😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa😅Hakuna cha bure ! Watu lazima wale chakula 😅😂
Kila matumizi yana umuhimu wake - bwashee hapo imesema ukweli kabisa ndio sababu wengi tunatetea matumizi ya serikali zoteMimi nimetoa mfano wa mapambo Kama kampuni moja Tu hapo kwenye event....but kutakuwa na kampuni nyingi tofauti zinaipwa Kwa kila event
Iwe event au iwe visima ... bottomline ni government spending na inarudi Kwa wananchi....
Sometimes tafsiri yako ya "matumizi ya busara" inaweza isiwe sahihi...
Unless useme serikali hailipi matumizi ya msingi inalipa haya ya events zaidi
Point yangu Mimi kila matumizi ya serikali Yana boost uchumi....hata Kama Kwa macho ni matumizi yasiyo ya lazima..
Nimekuelewa Sana
Nimetofautiana na wewe kitu kimoja
Wewe unaamini kuna matumizi hayana umuhimu...Mimi naamini kila matumizi Yana umuhimu wake...
Kila industry ina watu ...iwe visima iwe events industry kote serikali itumie hela
Mbaya zaidi ni kuwa ofisi zote za umma zimefungwa na watumishi wamelazimishwa kwenda uwanjani!Hivi isingetosha tu kwa Msemaji wa Ikulu / Rais kuitisha Press Conference na kutupa Matokeo ya Sensa kisha Maisha yaendelee na Pesa iliyotengwa kwa Tukio / Hafla ya leo itumike kwa Mambo mengine Muhimu na ya Kidharula kwa Maendeleo ( Ustawi ) wa Watanzania na Tanzania yao?
Kuna wakati Watu wengine huwa wanatulazimisha akina GENTAMYCINE tuwadharau kwa kufanya Vitu ambavyo kwa Umasikini mkubwa uliopo kwa Watanzania wala hayakupaswa Kufanyika na hata Watu wenye Akili Kubwa kamwe wasingethubutu kufanya hivyo kwani Taifa linapoteza Pesa kwa Jambo la Kawaida sana..
Kasirikeni ila mkiharibu nitawasema.
Huko unakoita kufuja pesa nako kunachochea uchumi
Imagine wewe Leo ingekuwa kampuni yako inalipwa kutokana na mapambo Tu ya event husika ...ungesema kuna ufujaji?...serikali ikitumia hela zinarudi Kwa wananchi...ni Bora government spending kuliko kubana bana matumizi kupita kiasi
Bro lipa kodi ndio uzalendo, matumizi usiulize . nini bana? 😂Waungwana_
Nchi hii inatafunwa na walamba asali
..hili soko la machinga Dodoma ni uhuni na ufisadi tupu
... taarifa za awali gharama ni 9B
CAG afanye special audit (VALUE FOR MONEY)
Kodi zetu zinatumika isivyo
120,000,000 kidogo tuwafikie NaijaHivi namba kamili tumeshafika wangapi tuachane na maneno ya tuko takribani watu.
Tuko na uchumi tunaoubust kwa tozo na mikopo alafu tunafanya jambo ambalo halina ulazima uko nikufuja.Yako mambo ya msingi sana ambayo yangeweza kufanyika na ela ikarudi vizuri kwa wananchi.Haya matukio mengine ni anasa na baada ya muda tutaanza kuambiwa ela kwa ajili ya jambo flani la muhimu haitoshi.Huko unakoita kufuja pesa nako kunachochea uchumi
Imagine wewe Leo ingekuwa kampuni yako inalipwa kutokana na mapambo Tu ya event husika ...ungesema kuna ufujaji?...serikali ikitumia hela zinarudi Kwa wananchi...ni Bora government spending kuliko kubana bana matumizi kupita kiasi
Na watumishi wa umma kukosekana maofisini ni matumizi sahihi ya rasilimali watu?Kila matumizi yana umuhimu wake - bwashee hapo imesema ukweli kabisa ndio sababu wengi tunatetea matumizi ya serikali zote
Afadhali umewaambia japo watajifanya kuwa hawajasikia! Ila mama na wasaidizi wake hupita sana hapa jamvini!Kutangaza idadi ya watu mpaka pawepo na misafara ya v-8 wakati uswahili maji hayatoki bombani, hizo pesa wanazochezea wangekuwa wanazitumia hata kuchimba visima ningewaona wa maana, wao wanawaza anasa tu.
Wamekosekana kwa utoro au Wana majukumu mengine?Na watumishi wa umma kukosekana maofisini ni matumizi sahihi ya rasilimali watu?
Wamelazimishwa kwenda uwanjani kusikiliza matokea ya sensa kitu ambacho wangesikia katika vyombo vya habari!Wamekosekana kwa utoro au Wana majukumu mengine?
wameshatoa takwimu??120,000,000 kidogo tuwafikie Naija
Very TrueeZuhura Yunus ni mrembo sana jamani.
IKutangaza idadi ya watu mpaka pawepo na misafara ya v-8 wakati uswahili maji hayatoki bombani, hizo pesa wanazochezea wangekuwa wanazitumia hata kuchimba visima ningewaona wa maana, wao wanawaza anasa tu.
Acheni wivu...Hili nalo mpk waende uwanjani watu wale posho!?
Rais Samia anafuja pesa pasipo sababu ya msingi.
Angepokea hii taarifa ya sensa na kuisoma akiwa Ikulu angeokoa pesa nyingi sana na angeelekeza bajeti hii kwenye mambo muhimu.
Wivu huuUlaji umetengenezwa,
Watu wamedafirishwa toka kona zote
Utapewa jina Baya lakini ukweli utabaki ukweli. Nilishangaa suala la Lishe kufanywa agenda kubwa wakati cha maana tulichoelezwa kinajulikana siku nyingi. Kuleni Kuku, mayai, mboga, samaki, maziwa. Msile nafaka zilizokobolewa Kwa wingi,Hivi isingetosha tu kwa Msemaji wa Ikulu / Rais kuitisha Press Conference na kutupa Matokeo ya Sensa kisha Maisha yaendelee na Pesa iliyotengwa kwa Tukio / Hafla ya leo itumike kwa Mambo mengine Muhimu na ya Kidharula kwa Maendeleo ( Ustawi ) wa Watanzania na Tanzania yao?
Kuna wakati Watu wengine huwa wanatulazimisha akina GENTAMYCINE tuwadharau kwa kufanya Vitu ambavyo kwa Umasikini mkubwa uliopo kwa Watanzania wala hayakupaswa Kufanyika na hata Watu wenye Akili Kubwa kamwe wasingethubutu kufanya hivyo kwani Taifa linapoteza Pesa kwa Jambo la Kawaida sana..
Kasirikeni ila mkiharibu nitawasema.