reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Yaani mambo mengine ya aibu na yanakera sana baasi tuKutangaza idadi ya watu mpaka pawepo na misafara ya v-8 wakati uswahili maji hayatoki bombani, hizo pesa wanazochezea wangekuwa wanazitumia hata kuchimba visima ningewaona wa maana, wao wanawaza anasa tu.