Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Wakuu nisiwachoshe msinichoshe...kifupi tusichoshane...
Nimeangalia matokeo ya hii sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 asee hali sio hali kwa swala zima la kimahusiano. Kama hatua za makusudi na madhubuti hazitachukuliwa kuhakikisha tunaongeza na kuwekeza kwenye kuzaa watoto wa kiume basi huko tuendako watoto wa kike watakosa wanaume wa kuhusiana hao kabisa iwe kwa ndoa au kwa ngono.
Imagine wanaume ni asilimia 49 na katika hao hujawatoa mashoga, mahanithi na wengine ambao hawana uwezo wa kuridhisha wanawake ki sex.
Mungu atuhurumie wana wa kike...
Ni mimi nakadori a.k.a mariamu mtarajiwa
Nimeangalia matokeo ya hii sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 asee hali sio hali kwa swala zima la kimahusiano. Kama hatua za makusudi na madhubuti hazitachukuliwa kuhakikisha tunaongeza na kuwekeza kwenye kuzaa watoto wa kiume basi huko tuendako watoto wa kike watakosa wanaume wa kuhusiana hao kabisa iwe kwa ndoa au kwa ngono.
Imagine wanaume ni asilimia 49 na katika hao hujawatoa mashoga, mahanithi na wengine ambao hawana uwezo wa kuridhisha wanawake ki sex.
Mungu atuhurumie wana wa kike...
Ni mimi nakadori a.k.a mariamu mtarajiwa