Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kati ya hai hujamtoa James delicious ,na vijana wa ovyo wa kuomba connection
Kwani mbususu si jambo la maana!!Ungeweza kuandika vitu vyenye maana zaidi kutokana na takwimu za sensa kuliko hili uliloandika. Anyway, an idle mind....!
Mmh umeringiwa?Habari wana MMU,
Kutokana na matokeo ya Sensa mwaka 2022, idadi ya watanzania wote ni takribani milioni 61 (61,741,120) ambapo kutokana na takwimu hizi inasemekana takribani milioni 30 (30,053,130) ni wanaume na idadi iliyobaki ya milioni 31 ( 31,687,990) ni wanawake.
Hii ni sawa na asilimia 49 ya wanaume wote na 51 ya wanawake wote. Hii inadhihirisha almost idadi ya wanawake na wanaume nchini ni sawa, na ule usemi wa wanawake wengi kushinda wanaume nchini kwetu unaonekana haufanyi kazi.
Je,hii inaweza ikawa ndo nafasi inayotumiwa na wanawake kubania mbususu zao, pamoja na kuringa!!?? Ukizingatia idadi yao na yetu zinafanana!!??View attachment 2403719
YeahMmh umeringiwa?
Duuh!! We hii umetoa wapi!!???Takwimu ziko hivii
Wanawake 18 and above ni 30ml
Wanawake under 18 ni 1ml na ushee
Wanaume 18 and above ni 5ml
Wanaume under 18 ni 25ml
Kwahyo nani huyoo kakuringia?
Basi kuna tatizo mahaliYeah
ApproximationYaani kwenye mada yako unaji contradict mwenyewe, kwenye takwimu unatoa wanawake ni wengi kuliko wanaume at the same time umasema wanaume na wanawake ni almost tupo sawa
Hizo ni tawkimu za NBS? Kama ni hivyo basi baada ya muda hawa wanaume under 18 ambao ni Mil 25 - wakikuwa na kuwa above 18; kutakuwa na uhaba mkubwa wa mademu. Hivyo bora wanaume tuchangamke tuoe wanawake wengi sasa.Takwimu ziko hivii
Wanawake 18 and above ni 30ml
Wanawake under 18 ni 1ml na ushee
Wanaume 18 and above ni 5ml
Wanaume under 18 ni 25ml
Kwahyo nani huyoo kakuringia?
Hahahah!!! Kaka me na tatizo gani sasaBasi kuna tatizo mahali
Hilo la kuringiwa/kukataliwaHahahah!!! Kaka me na tatizo gani sasa
Sidhani kama anavyosema ni kweliHizo ni tawkimu za NBS? Kama ni hivyo basi baada ya muda hawa wanaume under 18 ambao ni Mil 25 - wakikuwa na kuwa above 18; kutakuwa na uhaba mkubwa wa mademu. Hivyo bora wanaume tuchangamke tuoe wanawake wengi sasa.
Wanawake milioni 1 bado unaona wachache!? Hapo hujatoa mashoga na mahanisi bado udharau wanaume tupo sawa approximatelyApproximation
[emoji16][emoji16][emoji16] kweli sio poa mwanang Pancras, mashoga yanaweza fika mpaka laki tano au vp!Wanawake milioni 1 bado unaona wachache!? Hapo hujatoa mashoga na mahanisi bado udharau wanaume tupo sawa approximately