Sensa kwenye jicho la kimahusiano

Sensa kwenye jicho la kimahusiano

Inatakiwa wanaume tupungue zaidi, wanawake waongezeke, ndio maisha yaendelee vizuri.

Wanaume ni kama Simba, nyikani na wanawake ni Swala.

Simba wakiwa wengi swala watapungua, mwisho wa siku simba wataaanza kuuwana wao kwa wao.

Pia mwanaume mmoja anaweza kuoa hata wanawake watatu na maisha yakaendelea. Ila mwanamke kuolewa na wanaume watatu, lazima kutakuwa na vita kubwa.
Kwahiyo kimahusiano idadi ya wanawake inatakiwa iwe juu kuliko wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gap la utofauti wa idadi kati ya wanaume na wanawake limepungua...

Pia, katika idadi hiyo ya wanawake na wanaume iliyotajwa, ili kuwa na uhakika zaidi wa ulichokiandika inabidi upate idadi ya rika lililo katika uhitaji wa kuoa/kuolewa...

Kitakwimu unaweza ukakuta wanawake ni wengi, lakini asilimia hiyo inajazwa na wazee (kama rate ya kufa ya wanawake ni ndogo) au watoto wadogo wa kike (labda katika kipindi fulani wamezaliwa idadi kubwa kuliko wale wa kiume)...
Nakubaliana na wewe ila watu hubeba takwimu kama zilivyo na kusema kuna uhaba wa wanaume. Katika hiyo asilimia 31, kuna wazee, watoto, wafungwa na wale walioamua kukataa jinsi ya kike pia
 
Inatakiwa wanaume tupungue zaidi, wanawake waongezeke, ndio maisha yaendelee vizuri.

Wanaume ni kama Simba, nyikani na wanawake ni Swala.

Simba wakiwa wengi swala watapungua, mwisho wa siku simba wataaanza kuuwana wao kwa wao.

Pia mwanaume mmoja anaweza kuoa hata wanawake watatu na maisha yakaendelea. Ila mwanamke kuolewa na wanaume watatu, lazima kutakuwa na vita kubwa.
Kwahiyo kimahusiano idadi ya wanawake inatakiwa iwe juu kuliko wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha bora wanaume mzidi bwana...
 
Kati ya hai hujamtoa James delicious ,na vijana wa ovyo wa kuomba connection
 
Umeona mkuu hali ilivyo ya hatari....
Asee wanaume inabidi walazimishwe kuoa wanawake 3 kila mmoja ili kupunguza huo uhaba
Hapa mkuu hujaweka wazee kuanzia miaka 75 na kuendelea na watoto wa mwaka 1 mpk 13...
 
Nakubaliana na wewe ila watu hubeba takwimu kama zilivyo na kusema kuna uhaba wa wanaume. Katika hiyo asilimia 31, kuna wazee, watoto, wafungwa na wale walioamua kukataa jinsi ya kike pia
Population structure ya tz wazee ni wachache kuliko vijana na watoto ...yani ni pyramidal kwa asili... So hao wazee mnaowataja bado sio wengi kiviile...

Pia Kiuhalisia popote pale penye kusanyiko la ke na me hapa tz wanawake wana out number wanaume...
Ndo maana sitaki kuamini sana hizi data za hii sensa 22...huenda ziligubikwa na makosa flani flani.
Mahospitalini huko wanapozaliwa watoto daily wakike wanakuwa wengi zaidi ya nusu ya wa kiume... (angalia data za mwaka mpya za waliozaliwa na binafsi nimeshuhudia several time ninapokuwa na issue zangu hospitalini wodi za wazazi) sasa hawa wanaume walioongezeka wameibukia wapi? Au wanawake walifariki sana over the past 10 years ili kufanya idadi ya ke na me kutotofautiana sana??
 
Wanawake ni wengi Sana na mbaya zaidi wengi wao wanakosa wanaume kwa sababu hawana mvuto na tabia Njema


Na Wanaume wanapopata pesa na Maisha wanaamua kukaa mbali na kukataa kuoa Kabisa

Suluhisho wanawake Mnabidi kukubari kuolewa na wazee wenye umri wa babu zenu
 
Wakuu nisiwachoshe msinichoshe...kifupi tusichoshane...

Nimeangalia matokeo ya hii sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 asee hali sio hali kwa swala zima la kimahusiano. Kama hatua za makusudi na madhubuti hazitachukuliwa kuhakikisha tunaongeza na kuwekeza kwenye kuzaa watoto wa kiume basi huko tuendako watoto wa kike watakosa wanaume wa kuhusiana hao kabisa iwe kwa ndoa au kwa ngono.

Imagine wanaume ni asilimia 49 na katika hao hujawatoa mashoga, mahanithi na wengine ambao hawana uwezo wa kuridhisha wanawake ki sex.

Mungu atuhurumie wana wa kike...

Ni mimi nakadori a.k.a mariamu mtarajiwa
View attachment 2403069
Nimefurahi sana haya matokeo maana mabinti wote wanaokuja kutafuta mabwana hapa wanakuja na visababu vya ajabu mara mwingine akuulize bao ngapi uwa ni kawaida kwako [emoji848]

Sasa tutaona bi mkubwa ashawastua kazi kwenu kulegeza kamba sisi tuwaweke ndani[emoji39]
 
Jamani acheni utani sasa ivi vijana wengi ukisikia kapta mtoto ujue ni WA kike kwa aslimia nyingi ....naona kati ya waliojifungua watano unaweza Kuta wanne ni watoto wa kike
 
Hivi kuna taarifa ya watu wasio na jinsi au viungo vyote? Yan wasio me wala ke
 
Hivi kuna taarifa ya watu wasio na jinsi au viungo vyote? Yan wasio me wala ke
Hawa wote wamehesabiwa kama wanaume.
 

Attachments

  • Screenshot_20220901-132519_1.jpg
    Screenshot_20220901-132519_1.jpg
    65.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220901-132339_1.jpg
    Screenshot_20220901-132339_1.jpg
    69 KB · Views: 4
Wakuu nisiwachoshe msinichoshe...kifupi tusichoshane...

Nimeangalia matokeo ya hii sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 asee hali sio hali kwa swala zima la kimahusiano. Kama hatua za makusudi na madhubuti hazitachukuliwa kuhakikisha tunaongeza na kuwekeza kwenye kuzaa watoto wa kiume basi huko tuendako watoto wa kike watakosa wanaume wa kuhusiana hao kabisa iwe kwa ndoa au kwa ngono.

Imagine wanaume ni asilimia 49 na katika hao hujawatoa mashoga, mahanithi na wengine ambao hawana uwezo wa kuridhisha wanawake ki sex.

Mungu atuhurumie wana wa kike...

Ni mimi nakadori a.k.a mariamu mtarajiwa
View attachment 2403069
Tatizo ni kubwa, kwenye sensa hawa jamaa zetu wamehesabiwa kama wanaume.
 

Attachments

  • Screenshot_20220901-132539_1.jpg
    Screenshot_20220901-132539_1.jpg
    71 KB · Views: 4
  • IMG-20221014-WA0006.jpg
    IMG-20221014-WA0006.jpg
    91.4 KB · Views: 6
Na hili nalo mkalitizame
Huwa naumia sana kuona wanaume tunazidi kujishusha na kujipotezea thamani ilihali tu first preority katika uumbaji wa Mola, tena alitufinyanga kwa mikono yake mwenyewe

Mwanaume hakutakiwa kuwa mtu wa kuumiza kichwa kwenye mambo yasiyo ya msingi. Mwanaume anatakiwa kuwa kichwa cha familia yake na hata siku moja asijaribu kujibizana na kichwa cha mwanamke kwa kuwa ubongo wa mkewe umetokana na ubavu wake. Just imagine kiubavu kichanga cha mwanaume ndicho kilichotengeneza mwili mzima wa mwanamke kuanzia sura nzuri aliyonayo, figure, rangi na hata ubongo alionao

Huwa naumia sana kukutana na jianaume linalia lia huku machozi yake ya aibu yakiambatana na mafua makali yenye radi juu pamoja na kupanda na kushuka, ukimuuliza sababu anakwambia Nasra kaniumiza. Shwain[emoji35] Nikikutana na mwanaume wa hivi namtandika viboko hadharani

Unalikuta jianaume limepiga magoti huku linaushika mguu wa bia wa binti tena ambaye si mkewe huku linaomba msamaha [emoji35] Tandika kabisa bakora, huko ni kushusha heshima ya mwanaume

Unamkuta mwanaume anatongoza mwanamke zaidi ya mara mbili, imekuwa wimbo wa taifa kusema unamkaririsha verse? Mwanamke anatakiwa kutongozwa mara moja, akizingua achana naye[emoji35] Sasa bwana mkubwa, na mkuyenge wako wote ulionao unamkimbilia binti aliyekukata mithili ya mbwa yatima aliyekosa matunzo, unatafuta nini [emoji35]

Unamkuta mwanaume tena bila aibu anambembeleza mtoto wa kike kwenye simu eti aje gheto. Kuwa'Ock kabisa[emoji35] Inaumiza sana. Piga simu, mwambie nakutumia elfu ishilini uje chap, kata simu! Ambatanisha muamala! Mambo ya kulia lia huo ni umama

Unakuta mwanaume amekaa na mwanamke somewhere eti wanazungumza na kupanga maisha! Maaaishaaa! Ala! Kasema nani, na unakuta hakuna kitu cha maana wanachozungumza zaidi ya kuwasema watu tu pamoja na ma ex wao! Mwanaume unapata wapi muda huo? Tafuta pesa, acha ujinga!

Unakuta mwanaume anajishusha thamani kupita kiasi, kweli mwanaume unafikia hatua ya kuzama chumvini, kupiga deki 0715 ya mwanamke! Unatumia 15k kununua olive oil, eti unam massage apate stimu ili akojoe!? Yaani nauli utoe wewe, tuma na ya kutolea ni wewe, baby naumwa ni wewe, baby simu imepasuka kioo ni wewe halafu bado unajihangaisha kiasi hicho? Nitaanza kupita kwenye magesti mlango hadi mlango nikikukuta unafanya foreplay ni viboko kwa kwenda mbele

Unamkuta mwanaume anakwambia mmoja tu anatosha, kwa hiyo hao 1,634,860 waliobaki unatarajia wataolewa na nani? Nakuuliza, nipe jibu [emoji35]

Jana nimepita kiwanja X, nimekutana na kibinti kama cha chuo hivi kinakula pweza huku kinamuuliza muuzaji, ishafika shn'gapi? "elfu 40" Muda huo dume X lenye kitambi chake linaumia tu sema linashindwa kusema, shwain[emoji35] Nisingekuwa nawahi familia ningewacharaza bakora hadharani

Mwanaume ukijiskia, panda, piga tako zako mbili, kojoa, shuka, ulale! Kama ajakojoa mwambie apande apige pande zake 40 akojoe alale! Akishindwa, mwambie anywe jagi tatu za maji atakojoa akiwa usingizini[emoji35]

Wanaume turejee uanaume wetu, tuache utoto! Tazama tunavyozidi kupukutishwa na akili za hawa viumbe, fanyeni masihara, tutakwisha! [emoji24][emoji24][emoji24]
Sensa ijayo tutabaki 21m out of 61m. Hamtaamini! Mikuyenge unatokomea wakuu!

Nawasilisha, uzi ulindwe!
 
Back
Top Bottom