Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 636
We acha tu To yeye nipe basi nafasi wewe, maana mtaani napigwa sana ndoigePisi Kali imeharibu tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu To yeye nipe basi nafasi wewe, maana mtaani napigwa sana ndoigePisi Kali imeharibu tayari
Wanawake hiyo hulka yao tuHilo la kuringiwa/kukataliwa
Niende vipi sasa, kwa hiyo niigize maishaDah! pole kwa kuringiwa, nakushauri usiwaendee kishamba
Tuone nn sasa jamani!! Me nipo okay okay, mtanashati, sio mkurupukaji, sio mtu wa makundi, situmii vilevi na ni mtu makini sanaNgoja tuone mkuu....
Yeah!! Lakini katika wanawake hao millioni 31 naweza kukwambia millioni 9 ni chini ya miaka 18, milioni 2 wenye magonjwa makubwa(hawawezi date), milioni 6 wameolewa, laki tano ni wanawake wabaya, na milioni 1.5 ni majike dume.Kama ni kuoa, wanawake bado ni wachache ukilinganisha ukweli kuwa mwanamke akishafika miaka 40 uzazi unakuwa shida tofauti na wanaume ambao hata above 60 anaoa na anatia mimba.
yaani wanaodai wanawake wanaringia hilo wanapaswa waseme wanawake wanaoweza kuolewa na kuzaa 18-40 years ni wangapi na wanaume wanaowez akuoa 18-60 ni wangapi? Hapo ndipo kila kundi lingemringia vizuri mwenzake.
Johhny sack unaona pesa ndo kila kitu, wakati kuna matajiri wake zao wanapigwa mishipi ya kufa na kuponaTafuta hela, utajua wanawake hata hawaringi
Sijasema hela ndio kila kitu, ila kuwa na hela tu, utajua wanawake hawaringiJohhny sack unaona pesa ndo kila kitu, wakati kuna matajiri wake zao wanapigwa mishipi ya kufa na kupona
Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA, kwa sababu wao ni wachache kushinda WANAUMENchi gani hiyo wanawake wanaringa?
🤔🤔🤔🤔 ndugu muandishi sasa nishaanza kupata picha ss kwann wanaringaHabari wana MMU,
Kutokana na matokeo ya Sensa mwaka 2022, idadi ya watanzania wote ni takribani milioni 61 (61,741,120) ambapo kutokana na takwimu hizi inasemekana takribani milioni 30 (30,053,130) ni wanaume na idadi iliyobaki ya milioni 31 ( 31,687,990) ni wanawake.
Hii ni sawa na asilimia 49 ya wanaume wote na 51 ya wanawake wote. Hii inadhihirisha almost idadi ya wanawake na wanaume nchini ni sawa, na ule usemi wa wanawake wengi kushinda wanaume nchini kwetu unaonekana haufanyi kazi.
Je,hii inaweza ikawa ndo nafasi inayotumiwa na wanawake kubania mbususu zao, pamoja na kuringa!!?? Ukizingatia idadi yao na yetu zinafanana!!??View attachment 2403719
Mkuu labda kama una tatizo nao ila mbona wapo kawaida tu hadi na maombi wanaenda ili watupate wanaume. Jichanganye nao mkuu alafu usiwawaze sana watakusumbua akili.Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA, kwa sababu wao ni wengi kushinda WANAUME
ujanja ni kuigiza maisha?Niende vipi sasa, kwa hiyo niigize maisha
Maan me cjakupata mwamba defor byscoujanja ni kuigiza maisha?
Ha ha haa,sawa bhanaTuone nn sasa jamani!! Me nipo okay okay, mtanashati, sio mkurupukaji, sio mtu wa makundi, situmii vilevi na ni mtu makini sana
hawawezi kukuonea maana wanahitaji banana. tatizo ni wanaume wenyewe kujifanya tunatafuta pesa mpaka tunasahau wajibu wetu wa kuzitafuna hizo mbususu😀😀😀...na unajua mwanaume si malaya maana by nature is a polygamist. Kila siku yuko hot.Yeah!! Lakini katika wanawake hao millioni 31 naweza kukwambia millioni 9 ni chini ya miaka 18, milioni 2 wenye magonjwa makubwa(hawawezi date), milioni 6 wameolewa, laki tano ni wanawake wabaya, na milioni 1.5 ni majike dume.
Kwa hiyo wanawake milioni 18 ndio wapo okay okay na pisi zenye kuleta mvuto na kugombewa, je, wanaume milioni 30 tutatosha!!?? Me nahisi wanawake watatuonea sana kwenye mbususu