The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Ni huko wilaya ya Butiama kwa Baba wa taifa hili Mwl J. K. Nyerere.
Kwa jinsi ambavyo viongozi wetu wasivyopenda kukosolewa, si ajabu karani huyu wa sensa anafukuzwa kazi kwa kuposti picha hii na kueleza changamoto hii.
Anaweza kuwa charged kuwa anahujumu zoezi la sensa.
========
Makarani wa sensa wilayani Butiama mkoani Mara wakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mtandao wa hatua inayowalazimu kupanda juu ya miti na vilima ili kuweza kupata mawasiliano .
Mwenyekiti wa kamati ya sensa wilayani humo Moses Kaegele ameyasema hayo katika kikao Cha dharura kujadili. Maendeleo ya shughuli hiyo huku akiitaka kamati kusaidiana kutatua tatizo hilo.
Chanzo: RFA Online
Kwa jinsi ambavyo viongozi wetu wasivyopenda kukosolewa, si ajabu karani huyu wa sensa anafukuzwa kazi kwa kuposti picha hii na kueleza changamoto hii.
Anaweza kuwa charged kuwa anahujumu zoezi la sensa.
========
Makarani wa sensa wilayani Butiama mkoani Mara wakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mtandao wa hatua inayowalazimu kupanda juu ya miti na vilima ili kuweza kupata mawasiliano .
Mwenyekiti wa kamati ya sensa wilayani humo Moses Kaegele ameyasema hayo katika kikao Cha dharura kujadili. Maendeleo ya shughuli hiyo huku akiitaka kamati kusaidiana kutatua tatizo hilo.
Chanzo: RFA Online