Sensa na Changamoto ya Intaneti: Karani wa Sensa Akutwa Juu ya Mti akitafuta Mtandao Butiama, Mara

Sensa na Changamoto ya Intaneti: Karani wa Sensa Akutwa Juu ya Mti akitafuta Mtandao Butiama, Mara

Yuko kwenye mti anaperuzi internet. What are you complaining about?
Ni huko wilaya ya Butiama kwa Baba wa taifa hili Mwl J. K. Nyerere.

Kwa jinsi ambavyo viongozi wetu wasivyopenda kukosolewa, si ajabu karani huyu wa sensa anafukuzwa kazi kwa kuposti picha hii na kueleza changamoto hii.

Anaweza kuwa charged kuwa anahujumu zoezi la sensa.

========

Makarani wa sensa wilayani Butiama mkoani Mara wakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mtandao wa hatua inayowalazimu kupanda juu ya miti na vilima ili kuweza kupata mawasiliano .

Mwenyekiti wa kamati ya sensa wilayani humo Moses Kaegele ameyasema hayo katika kikao Cha dharura kujadili. Maendeleo ya shughuli hiyo huku akiitaka kamati kusaidiana kutatua tatizo hilo.

View attachment 2335596

Chanzo: RFA Online
 
Hivi ikitokea watu wa sensa wamekuja kwenye nyumba uliyopanga ,alafu mwenye nyumba amekusahau .unatakiwa ufanye Nini?

Mimi nilikuwa ndani nimelala.natoka ananiambia kumbe ulikuwa ndani tumeshahesabiwa.
Mpigie simu mjumbe watakurudia
 
Harafu Jana usiku wale jamaa wa Takwimu wanasema hakuna mahali ambapo karani anahitaji mtandao..

Sasa sijui walikuwa wanamdanganya nani na Kwa maslahi ya nani? Ujue watu wanaojiita wasomo huwa ni wapumbavu Sana mara nyingi huwa wanaamini Wana akili sana na wasioenda shule hawana akili wakati mambo ya IQ Wala hayahitaji shule za madarasani.
Ndio ukweli,karani hahitaji internet ila Bluetooth tu,msimamizi ndo anahitaji internet
 
Yuko kwenye mti anaperuzi internet. What are you complaining about?
Am I complaining...?

I am just reporting the challenges and difficulties facing the implementers of 2022 national census..

Am I going against the law of the country by do so...?

Pls, tell me. May be, I am more stupid and ignorant than you...!!
 
Back
Top Bottom