Wewe Ngwini tuHayo mawazo ysko.
Mimi mwanasayansi practical a si penguin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Ngwini tuHayo mawazo ysko.
Mimi mwanasayansi practical a si penguin.
Penguin.mnajulikana kwa maneno meengi bila hoja ya msingi.Wewe Ngwini tu
Ni huko wilaya ya Butiama kwa Baba wa taifa hili Mwl J. K. Nyerere.
Kwa jinsi ambavyo viongozi wetu wasivyopenda kukosolewa, si ajabu karani huyu wa sensa anafukuzwa kazi kwa kuposti picha hii na kueleza changamoto hii.
Anaweza kuwa charged kuwa anahujumu zoezi la sensa.
========
Makarani wa sensa wilayani Butiama mkoani Mara wakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mtandao wa hatua inayowalazimu kupanda juu ya miti na vilima ili kuweza kupata mawasiliano .
Mwenyekiti wa kamati ya sensa wilayani humo Moses Kaegele ameyasema hayo katika kikao Cha dharura kujadili. Maendeleo ya shughuli hiyo huku akiitaka kamati kusaidiana kutatua tatizo hilo.
View attachment 2335596
Chanzo: RFA Online
Mpigie simu mjumbe watakurudiaHivi ikitokea watu wa sensa wamekuja kwenye nyumba uliyopanga ,alafu mwenye nyumba amekusahau .unatakiwa ufanye Nini?
Mimi nilikuwa ndani nimelala.natoka ananiambia kumbe ulikuwa ndani tumeshahesabiwa.
Ndio ukweli,karani hahitaji internet ila Bluetooth tu,msimamizi ndo anahitaji internetHarafu Jana usiku wale jamaa wa Takwimu wanasema hakuna mahali ambapo karani anahitaji mtandao..
Sasa sijui walikuwa wanamdanganya nani na Kwa maslahi ya nani? Ujue watu wanaojiita wasomo huwa ni wapumbavu Sana mara nyingi huwa wanaamini Wana akili sana na wasioenda shule hawana akili wakati mambo ya IQ Wala hayahitaji shule za madarasani.
True mfumo unafanya kazi bila hata network,unataka tu Bluetooth tena muda wa kuwasilisha taarifaWengi wetu kama Jidu La Mabambasi tunapenda kuona sensa imefeli na kupakaza. Mfumo unafanya offline
Huyu kapanda juu ya mti kufanya nini? Au ni msimamizi?Ndio ukweli,karani hahitaji internet ila Bluetooth tu,msimamizi ndo anahitaji internet
Am I complaining...?Yuko kwenye mti anaperuzi internet. What are you complaining about?