Septemba 07, 2022 ndiyo iPhone 14 inazinduliwa. Wapenzi wa iPhone tukutane hapa kujuzana prices and specs

Septemba 07, 2022 ndiyo iPhone 14 inazinduliwa. Wapenzi wa iPhone tukutane hapa kujuzana prices and specs

mhhhh mkuu unazungumzia A series labda[emoji31][emoji31]
tena a10,10s a03,a11 nk.hata A 32 tu inafoka balaa.mtu akikuona nayo lazima aifate aikague.

mtu hawezi kukutengenezea simu ya $500 kwenda juu akaripua ripua tu,lazima ukishika uone thamani ya hela yako.
Natumia s20 ultra

Nikaiweka hapo n watu wachache sana wanaoweza itambua

Hizo a10 na hao uliowataja wana tofaut gani na infinix?
 
20220907_195512.jpg
 
Kuna tofauti kubwa kidogo kama kule watatumia esim pia video recording itakuwa 8k na zoom yake itakuwa 10x ya iphone nyingine. Na pia nasikia itakuwa 8000 mAh battery capacity.
Kwenye betri hapo kuna ukweli gani? Iphone wakuwekee betri lote hilo?
 
Back
Top Bottom