Silas Furniture
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 246
- 137
Natumia s20 ultramhhhh mkuu unazungumzia A series labda[emoji31][emoji31]
tena a10,10s a03,a11 nk.hata A 32 tu inafoka balaa.mtu akikuona nayo lazima aifate aikague.
mtu hawezi kukutengenezea simu ya $500 kwenda juu akaripua ripua tu,lazima ukishika uone thamani ya hela yako.
Tekno nasikia mmeambiwa mkae kwa kujibana hapa[emoji1787]Mpaka sisi wa tekno wereva tunachangia, itakuwa nyinyi samsang' [emoji23]
Uwezo unaruhusu.Poverty kitu kibaya sana.
Kuna wengine wananunua gari brand new kila baada ya miaka miwili.
Simu kitu gani?
Wengi hawalijui hiliKama una efficient chip set, kuna na battery kubwa ni pointless.
Kama tupo kwenye DCM za mbagalaππ€£Tekno nasikia mmeambiwa mkae kwa kujibana hapa[emoji1787]
Eeh sijaelewa naangalia hii event hapa hivi ile ndio iphone 14 au wanatania [emoji15]
Kivip? Angalia specification mzee sio physical appearanceEeh sijaelewa naangalia hii event hapa hivi ile ndio iphone 14 au wanatania π³
πππWe jamaa
Kwenye betri hapo kuna ukweli gani? Iphone wakuwekee betri lote hilo?Kuna tofauti kubwa kidogo kama kule watatumia esim pia video recording itakuwa 8k na zoom yake itakuwa 10x ya iphone nyingine. Na pia nasikia itakuwa 8000 mAh battery capacity.
Specification za kizungu sanaaa... features zenyewe za hiyo emergency satellite ni kwa US and Canada sasa unasema nini hapoKivip? Angalia specification mzee sio physical appearance