National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kwenye uzi wetu iphoneee na iOS ๐ ๐ ๐ ๐ .. Niambie dada yangu kwanzaNajipendekezaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye uzi wetu iphoneee na iOS ๐ ๐ ๐ ๐ .. Niambie dada yangu kwanzaNajipendekezaje tena?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwenye uzi wetu iphoneee na iOS [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].. Niambie dada yangu kwanza
Upo Australia au bado upo Turkey ๐๐[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwendraaaaaa....
Ningekuwa Mtumiaji wa IPhone ningekuomba unayotumia ukinunua hilo toleo jipya[emoji1787]
Ila mahali nipo saa hii hadi nivunje kioo[emoji28]
Basi tulale tuTayari maslay queen wameanza kunyoa ikulu ndogo, kwaajili ya mapambano ya kuipata hii simu!
Si mnasemaga Iphone hana RAM?Nadhani hakutakua na mabadiliko makubwa ya design na feutures mpya ukilinganisha na Iphone 13, wanaweza kuweka chipset kubwa zaidi na Ram kubwa zaidi, ila kama kawaida wafungwa wa iphone watazinunua kama zote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upo Australia au bado upo Turkey [emoji4][emoji4]
๐๐๐ Unibebee nazi basi nipate madafu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kimanzichana.
Tafuta hela uache makasirikoTayari maslay queen wameanza kunyoa ikulu ndogo, kwaajili ya mapambano ya kuipata hii simu!
Kuna tofauti kubwa kidogo kama kule watatumia esim pia video recording itakuwa 8k na zoom yake itakuwa 10x ya iphone nyingine. Na pia nasikia itakuwa 8000 mAh battery capacity.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] Unibebee nazi basi nipate madafu
๐๐๐ Uzuri wa kuwa na dada wa ukweeli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiwaze...
8000Mah? Hii sio leo wala keshoKuna tofauti kubwa kidogo kama kule watatumia esim pia video recording itakuwa 8k na zoom yake itakuwa 10x ya iphone nyingine. Na pia nasikia itakuwa 8000 mAh battery capacity.
Vyote hivyo wamezingatia ingawa bado ni tetesi kesho kwenye uzinduzi ndio tutajua rasmi mbivu na mbichi.Kitu wanatakiwa kufanya waongeze free cloud storage kama Google,na hiyo 8k basi iwe kwenye fps nzuri..wacha tuone
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ni tetesi na uwenda zikawa na ukweli au sio kweli kesho tutathibitisha mkuu.8000mAh kwenye iphone hii tusubiri labda 2030.
ukizingatia 3800 mAh za mwaka jana zimeonyesha uwezo mkubwa sana wa kukaa na charge.
sana sana watapunguza namba,wakirenga kupunguza ukubwa wa betry na kupata simu nyembamba zaidi.
Chemistry C= 3H2๐Haina shida mtoto akita aah easy, macho matatu kwa jicho moja.. Hesabu zina balance ๐๐