Nikuulize swali mtaamu, mtoto wa miaka 10 hadi 12 ameshindwa mtihani unamwambia ni failure, kwamba hajui chochote wewe unaona hiyo ina mantiki?
Mtoto bado mdogo, bado anajifunza, bado akili yake ina explore mazingira na kujifunza halafu unamwambia ni failure kitaifa eti kisa kakosa swali la hesabu, hiyo ni akili ama mavi? Yaani how comes a 10 years old kid awe ni failure?
Halafu kwa nini uniambie mimi ni failure tu kisa nimeshindwa swali la hesabu, kwani hakuna vitu vingine ambavyo najua na hukuniuliza?
Finland ndio case study ya Dunia kwa sasa kwa kuondoa huu uhayawani na watoto wao ni best kwenye kila kitu, sciences, mathematics, IT, reasoning, thinking etc. Sasa na mamitihani yako wewe una watoto wana akili kuliko wa Finland?
Hata Chama cha Labor cha UK wamesema wakishinda uchaguzi wanaondoa mitihani yote. Wasikilize hapa.