Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Acha bollo litembe anasema coach wa Simba. Ustaadhi Juma Mgunda.
Vijana wamechuku huo msemo kwa sasa wanatembeza balls zao sana kwenyw mahusiano. Wasione kuna upenyo wanapitisha Ball. Wasione kuna uwazi wanataka ku score.
Mi nadhani kuna haja ya kujitathmini. Si kwamba kwa kuwa miguu basi wewe ni kukimbia muda wote. Au kwa kuwa una macho basi wewe unakodoa masaa 24x7 si sawa.
Tulizeni balls vijana mnapiga chenga hadi wake za watu na kutaka ku score. Watu watakuja na Vasseline halafu iwe INSHU.
Vijana wamechuku huo msemo kwa sasa wanatembeza balls zao sana kwenyw mahusiano. Wasione kuna upenyo wanapitisha Ball. Wasione kuna uwazi wanataka ku score.
Mi nadhani kuna haja ya kujitathmini. Si kwamba kwa kuwa miguu basi wewe ni kukimbia muda wote. Au kwa kuwa una macho basi wewe unakodoa masaa 24x7 si sawa.
Tulizeni balls vijana mnapiga chenga hadi wake za watu na kutaka ku score. Watu watakuja na Vasseline halafu iwe INSHU.