Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Majuzi nimekaa kwenye bwalo la halmashauri ya Mbeya vijijini nikishuhudia machozi ya vijana wasomi wa kitanzania wakimwaga machozi baada ya kuonekana hawajapita kwenye interview ya inayosimamiwa na watu wasiojua thamani na gharama za mtu kukaa miaka mitatu akipambania shahada ya ualimu kwa jasho damu!
Mtu anapambana chuo halafu analetwa Waziri anaitwa Mkenda anatumia “vikundi vya wahuni” kwenda kuwafanyia interview wasomi wetu wenye qualifications zote kwa kuwauliza maswali ya kishenzi dakika kumi baadae anaambiwa arudi nyumbani.
Waziri Mkenda machozi ya hao watoto yatakuwa laana hata juu ya kaburi lako! Wasomi wote unaowaona leo hata wewe mwenyewe pamoja na Rais wako mliaminiwa kwa shahada zenu ndio maana wewe leo ni profesa. Acha kuwatesa watoto wa watu kwa upumbavu na kwa sera za kishenzi!
Mnajificha kwenye kichaka cha interview kukwepa maswali ya upungufu wa ajira nchini! Mnashindwa kuendeleza mfumo wa kutoa ajira kwa wasomi na kutumia mfumo wa kikoloni sasa binti zetu huko kwenye maintaview yenu wanabakwa ili kuhakikisha labda watafanikiwa.
Mtu anapambana chuo halafu analetwa Waziri anaitwa Mkenda anatumia “vikundi vya wahuni” kwenda kuwafanyia interview wasomi wetu wenye qualifications zote kwa kuwauliza maswali ya kishenzi dakika kumi baadae anaambiwa arudi nyumbani.
Waziri Mkenda machozi ya hao watoto yatakuwa laana hata juu ya kaburi lako! Wasomi wote unaowaona leo hata wewe mwenyewe pamoja na Rais wako mliaminiwa kwa shahada zenu ndio maana wewe leo ni profesa. Acha kuwatesa watoto wa watu kwa upumbavu na kwa sera za kishenzi!
Mnajificha kwenye kichaka cha interview kukwepa maswali ya upungufu wa ajira nchini! Mnashindwa kuendeleza mfumo wa kutoa ajira kwa wasomi na kutumia mfumo wa kikoloni sasa binti zetu huko kwenye maintaview yenu wanabakwa ili kuhakikisha labda watafanikiwa.