Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Kitu rahisi hicho; you raise the bar. Waulize vijana wanaoomba kwenda kusoma MD Muhimbili. Kupata division one hakutoshi. Ni division one ya points ngapi? Wanachukua mostly division one ya points 3, 4, 5. If you raise the bar in a similar fashion, you won’t have to invite 15,000 candidates for an interview to fill only 200 teaching positions!
Kwani lazima waliohitimu mafunzo ya ualimu wote waajiriwe? Serikali haiwezi kuajiri wahitimu wote wa ualimu na kozi nyingine Kwa Mara moja na haitokuja kutokea ikaajiri wote.

Acha mchujo upite, kwanza shughuli zipo kibao za kufanya, Acha kulia.
 
Mkuu usiseme hivo, usione wajinga kwamba hayo yote hawayafikirii..Jaribu kuvaa viatu vyao na kama ww ulipata nafasi ya kuepukana na hiyo changamoto basi shukuru tu Mungu kisha ukae kimy.
Tatizo plan b hamna mnataka kufanya kazi serikalini. Huu ujinga wa kuajiriwa na serikali umewalemaza sana watanzania.
 
Yeah to interview 15,000 kwa nafasi 200 ni waste of time and money,
Pambana ufanikiwe, mbona kipindi hamna interview ulikuwa unaomba ajira? Kwanini usingekuwa unakaa tu.

Kuna wahitimu kibao huku mtaani wa ualimu Sasa hivi wame hustle na wamefanikiwa kwenye biashara zao na Mambo yanaenda Kama kawaida.
 
Interview inamanufaa acha oendelee. Soma vizuri sera ya elimu. Kazi ya ualimu inaenda kuheshimishwa. Lama wakati upo chuoni ulikuwa unasema mi natafuta C tu sihitaj kujua sana, sasa ndio comes around.
 
Nimesoma post zote 1-20 naona shida kubwa sana.

Moja hata mleta mada hajui anataka Nini, maana ukweli hakuna ajira isiyo na interview, na nimeshiriki interview nyingi sana kwenye ajira za walimu shule za Private. Yeyote aliyetimiza vigezo vya Tangazo aliitwa kwenye usaili. Mfano Kuna shule mpya ilikuwa Dar tulihitaji walimu 9 tukipata applications 391 na wote walimeet initial screening procedure. Sheria inatak uwaite.

Baada ya hapo tuliscreen na kupata walimu 36 tukawapa interview ya pili wakabakia 19 then tunafanya mwisho tukipata serious teachers 9. Na shule ipo vizuri sana sana(form two mbili zilizopita wote division one) mwaka huu itakuwa na form four ya kwanza.

Hakuna kubebana wacha waitwe kwenye usaili lakini pia best teacher sio GPA hata kidogo bali uwezo binafsi wa mwalimu. Mfano: Kuna walimu wa kiingreza hawawezi kuzungumza kiingreza five minutes leave alone grammar.

Jambo la pili naona walimu wengi wamefocus kuaniriwa tena serikalini. SI lazima uajiriwe unaweza kujiajiri (walimu watatu au wanne anzisheni tuition center, QT, n.k) huku mnaeeza kujenga majini na kupata ajira. Ombeni kufundisha remedial classes kwenye shule hizo mnagawani mshiko na walimu). Lakini pia mnaeeza kuandaa notes, pamphlets, compendium au vitabu kwenye maeneo yenu ya ubobezi. Etc

Mnamlaumu Prof. Mkenda as if yeye ndio yupo kwenye Halmashauri.,

Mwisho kama walimu wengi ni watoto wa wakulima m ona hatuoni wakikwasaidia wazazi wao kuongeza tija kwenye kilimo na ufungaji badala yake wapo TikTok, X, fB etc. wasaidieni. Kwenye kilimo Kuna tija kubwa sana
 
Majuzi nimekaa kwenye bwalo la halmashauri ya mbeya vijijini nikishuhudia machozi ya vijana wasomi wa kitanzania wakimwaga machozi baada ya kuonekana hawajapita kwenye interview ya kishenzi inayosimamiwa na watu wapumbavu wasio jua thamani na gharama za mtu kukaa miaka mitatu akipambania shahada ya ualimu kwa jasho damu ! Alafu anaketwa mchawi anaitwa mkenda anatumia vikundi vya wahuni kwenda kuwafanyia interview wasomi wetu wenye qualifications zote kwa kuwauliza maswali ya kishenzi dakika kumi baadae anaambiwa arudi nyumbani ,waziri mkenda machozi ya hao watoto yatakuwa laana hata juu ya kaburi lako ! Wasomi wote unaowaona Leo hata wewe mwenyewe pamoja na rais wako mliaminiwa kwa shahada zenu ndio maana wewe Leo ni profesa ,acha kuwatesa watoto wawatu kwa upumbavu na kwa sera za kishenzi ! Mnajificha kwenye kichaka Cha interview kukwepa maswali ya upungufu wa ajira nchini ! Nyinyi ni washenzi kwa sababu mnashindwa kuendeleza mfumo wa kutoa ajira kwa wasomi na kutumia mfumo wa kikoloni sasa Binti zetu huko kwenye maintaview yenu wanabakwa ili labda watafanikiwa mlaaniwe usiku na mchana
Kwa matusi hayo ni dhahiri interview imekutupa.
 
Sijawahi ona interview ya kipumbavu kama hii ya Waalimu. Ukiuliza kila mtu anakwambia nilipata 76 na ilitakiwa 80.
How come most of them wapate 76.
Kigezo cha kutumia interview kwa ajira za Waalimu ni UPUMBAVU
 
Imagine unahitaji kujaza nafasi 200. Kuna sababu gani ya kuita 15,000 candidates kwenye interview, kama sio kutengeneza mazingira ya rushwa? Unapaswa kuwa na filter itakayokupa a sensible shortlist ya candidates utakaowaita kwenye interview. Otherwise, utatia watu wengi hasara isiyokuwa ya lazima!
Mimi shida yangu si huo wingi, Bali ni aina ya maswali......yalikuwa favourable kwa mtu aliyemaliza mwaka jana au juzi tu lakini waliomaliza 2018 huko walitengwa kabisa......na Kwakweli wameumizwa na kudhulumiwa sana. Huruma Kwakweli. Mtu yupo mtaani miaka 8, anashighulika na kilimo tu, ghafla analetewa maswali ya kifalsafa tupu ambayo yanahitaji mtu anayesoma na kutestiwa Kila siku. Kama hilo halitoshi, pass mark ilikuwa 80😭😭😭😭. Kwa hapa, kilio changu kipo pamoja na mleta mada.....wamedhulimiwa nauli na muda wao ndugu zetu wa miaka ya 2018, 2019 na 2020
 
Hii kitu insurance sana,
Kipindi hicho, 20yrs ago, nimetoka UD, naishi kwa bro, nikatafuta ajira ya jeshi, nikatapeliwa, Mara ya pili, kamanda mmoja akanipa ukweli mchungu, "wewe mtoto wa mkulima, huna mkubwa anayekujua, unafikiri utapita kwenye mchujo wilayani? "
Mara ya tatu, nikajibiwa kwa ujeuri na wajumbe wa kamati ya ulinzi wilayani, "we jina lako halipo toka nje"
Ccm ni washenzi Sana, mtu anawaambia vijana, eti jiendelezeni hata kama hamna ajira! Sasa huna pesa, unajiendelezaje? Kwa kunyoa kipara au kusuka?
 
Nimesoma post zote 1-20 naona shida kubwa sana.

Moja hata mleta mada hajui anataka Nini, maana ukweli hakuna ajira isiyo na interview, na nimeshiriki interview nyingi sana kwenye ajira za walimu shule za Private. Yeyote aliyetimiza vigezo vya Tangazo aliitwa kwenye usaili. Mfano Kuna shule mpya ilikuwa Dar tulihitaji walimu 9 tukipata applications 391 na wote walimeet initial screening procedure. Sheria inatak uwaite.

Baada ya hapo tuliscreen na kupata walimu 36 tukawapa interview ya pili wakabakia 19 then tunafanya mwisho tukipata serious teachers 9. Na shule ipo vizuri sana sana(form two mbili zilizopita wote division one) mwaka huu itakuwa na form four ya kwanza.

Hakuna kubebana wachaga waitwe kwenye usaili lakini pia best teacher sio GPA hata kidogo bali uwezo binafsi wa mwalimu. Mfano: Kuna walimu wa kiingreza hawawezi kuzungumza kiingreza five minutes leave alone grammar.

Jambo la pili naona walimu wengi wamefocus kuaniriwa tena serikalini. SI lazima uajiriwe unaweza kujiajiri (walimu watatu au wanne anzisheni tuition center, QT, n.k) huku mnaeeza kujenga majini na kupata ajira. Ombeni kufundisha remedial classes kwenye shule hizo mnagawani mshiko na walimu). Lakini pia mnaeeza kuandaa notes, pamphlets, compendium au vitabu kwenye maeneo yenu ya ubobezi. Etc

Mnamlaumu Prof. Mkenda as if yeye ndio yupo kwenye Halmashauri.,

Mwisho kama walimu wengi ni watoto wa wakulima m ona hatuoni wakikwasaidia wazazi wao kuongeza tija kwenye kilimo na ufungaji badala yake wapo TikTok, X, fB etc. wasaidieni. Kwenye kilimo Kuna tija kubwa sana
Mwambieni mbwa mkenda aache roho mbaya. Hata kama ana Nia mbaya na watu/mtu ibaki siri yake moyoni mwake. Asitake kujionesha jinsi Gani yeye ni mtu smart sana au muhimu Sana kuliko mwingine/wengine. Ama familia yake ya muhimu Sana kuliko familia za wengine. Mbwa mkenda lolote baya likupate wewe na familia yako.
 
Nimesoma post zote 1-20 naona shida kubwa sana.

Moja hata mleta mada hajui anataka Nini, maana ukweli hakuna ajira isiyo na interview, na nimeshiriki interview nyingi sana kwenye ajira za walimu shule za Private. Yeyote aliyetimiza vigezo vya Tangazo aliitwa kwenye usaili. Mfano Kuna shule mpya ilikuwa Dar tulihitaji walimu 9 tukipata applications 391 na wote walimeet initial screening procedure. Sheria inatak uwaite.

Baada ya hapo tuliscreen na kupata walimu 36 tukawapa interview ya pili wakabakia 19 then tunafanya mwisho tukipata serious teachers 9. Na shule ipo vizuri sana sana(form two mbili zilizopita wote division one) mwaka huu itakuwa na form four ya kwanza.

Hakuna kubebana wachaga waitwe kwenye usaili lakini pia best teacher sio GPA hata kidogo bali uwezo binafsi wa mwalimu. Mfano: Kuna walimu wa kiingreza hawawezi kuzungumza kiingreza five minutes leave alone grammar.

Jambo la pili naona walimu wengi wamefocus kuaniriwa tena serikalini. SI lazima uajiriwe unaweza kujiajiri (walimu watatu au wanne anzisheni tuition center, QT, n.k) huku mnaeeza kujenga majini na kupata ajira. Ombeni kufundisha remedial classes kwenye shule hizo mnagawani mshiko na walimu). Lakini pia mnaeeza kuandaa notes, pamphlets, compendium au vitabu kwenye maeneo yenu ya ubobezi. Etc

Mnamlaumu Prof. Mkenda as if yeye ndio yupo kwenye Halmashauri.,

Mwisho kama walimu wengi ni watoto wa wakulima m ona hatuoni wakikwasaidia wazazi wao kuongeza tija kwenye kilimo na ufungaji badala yake wapo TikTok, X, fB etc. wasaidieni. Kwenye kilimo Kuna tija kubwa sana
Mwambieni mbwa mkenda aache roho mbaya. Hata kama ana Nia mbaya na watu/mtu ibaki siri yake moyoni mwake. Asitake kujionesha jinsi Gani yeye ni mtu smart sana au muhimu Sana kuliko mwingine/wengine. Ama familia yake ya muhimu Sana kuliko familia za wengine. Mbwa mkenda lolote baya likupate wewe na familia yako
 
Back
Top Bottom