Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Matokeo yanatolewa wakati ambao kila mtu yupo makwao, hao vijana waliokuwa wanalia kwenye bwalo la halmashauri ww umewaonaje?
 
Imagine unahitaji kujaza nafasi 200. Kuna sababu gani ya kuita 15,000 candidates kwenye interview, kama sio kutengeneza mazingira ya rushwa? Unapaswa kuwa na filter itakayokupa a sensible shortlist ya candidates utakaowaita kwenye interview. Otherwise, utatia watu wengi hasara isiyokuwa ya lazima!
Usaili umefanyika kwenye maeneo yao wanapoishi, wengine wameenda kwenye usaili kwa miguu kutokana na ukaribu, hasara ipi hy unazungumzia?
 
Kwahy waalimu ndio wasomi wenu, ila kada zingine sio wasomi 😂 Bado hamjasema
 
Imagine unahitaji kujaza nafasi 200. Kuna sababu gani ya kuita 15,000 candidates kwenye interview, kama sio kutengeneza mazingira ya rushwa? Unapaswa kuwa na filter itakayokupa a sensible shortlist ya candidates utakaowaita kwenye interview. Otherwise, utatia watu wengi hasara isiyokuwa ya lazima!
Msingeitwa pia bado msingekosa cha kusema. Kubalianeni na mabadiliko tu, ni mwanzo, ila mtazoea.
 
Anajifanya anajua sana ubora wa elimu ila hajali maumivu wanayopitia watoto wetu afu hajali kabisa upungufu wa walimu vijijini hali ni mbaya sana hadi wanafunzi wameanza kurudia kama zamani.
 
Mimi shida yangu si huo wingi, Bali ni aina ya maswali......yalikuwa favourable kwa mtu aliyemaliza mwaka jana au juzi tu lakini waliomaliza 2018 huko walitengwa kabisa......na Kwakweli wameumizwa na kudhulumiwa sana. Huruma Kwakweli. Mtu yupo mtaani miaka 8, anashighulika na kilimo tu, ghafla analetewa maswali ya kifalsafa tupu ambayo yanahitaji mtu anayesoma na kutestiwa Kila siku. Kama hilo halitoshi, pass mark ilikuwa 80😭😭😭😭. Kwa hapa, kilio changu kipo pamoja na mleta mada.....wamedhulimiwa nauli na muda wao ndugu zetu wa miaka ya 2018, 2019 na 2020
Kwahy umemaliza 2018 afu umekaa mtaani unasubiri kuajiriwa na serikali 😂 ww endelea kusubiri tuu mana huna akili.

Unazungumzia nauli vp wakati usaili umefanyika maeneo wanapoishi?

Usaili wa siku moja ndo kupotezewa muda? 😂 Ila kukaa kuanzia 2018 mpaka sasa unaona hujapoteza muda 😂
 
Kitu rahisi hicho; you raise the bar. Waulize vijana wanaoomba kwenda kusoma MD Muhimbili. Kupata division one hakutoshi. Ni division one ya points ngapi? Wanachukua mostly division one ya points 3, 4, 5. If you raise the bar in a similar fashion, you won’t have to invite 15,000 candidates for an interview to fill only 200 teaching positions!
mwanzon nilipata tabu kukuelew, ila kweny hiii point "raising the bar" umetisha sana. Hebu niendelee kufuatilia hawa wanaokupinga wana hoja gan nzito kushinda hii yako🧠
 
mwanzon nilipata tabu kukuelew, ila kweny hiii point "raising the bar" umetisha sana. Hebu niendelee kufuatilia hawa wanaokupinga wana hoja gan nzito kushinda hii yako🧠
N kweli kasema kitu cha maana ila bado wapo ambao wangelalamika mana kwa maana hy n kwamba hao watakaobaki hawatokuja kuajiriwa tena ualimu serikalin.
 
Kitu rahisi hicho; you raise the bar. Waulize vijana wanaoomba kwenda kusoma MD Muhimbili. Kupata division one hakutoshi. Ni division one ya points ngapi? Wanachukua mostly division one ya points 3, 4, 5. If you raise the bar in a similar fashion, you won’t have to invite 15,000 candidates for an interview to fill only 200 teaching positions!
Bado kelele zingekuwepo kwa hao ambao wameachwa mana ndio ingekuwa washajua hawawezi kuajiriwa tena ualimu serikalin, ndo mwanzo wa kusema miaka yote hy kusomea ualimu n sawa na 0
 
Am sorry jk!ndivyo ninavyoweza kukomenti!

Huyo Mzee anaweza akawa ni mswahili na mjanja mjanja lakini he new how to live with us!
Unamfanyia interview mtoto wa maskini mwenye mkopo hslb ili kumkomoa upate Nini!!?

Am sorry jk!
 
Kuna video niliiona anajitetea bungeni,nikagundua nchi zinazofanya interview kwa walimu ni chache sana duniani,pia nikagundua atakuwa na malengo ya kuanzisha lugha ya kiingereza toka chekechea

Ila kuna kitu cha kijinga alikisema eti walimu wawe wanajiendeleza ili wafaulu interview,mbaya zaidi hz interview hata walikuwa hawasahihishi mitihani

Mwisho wa zoezi watueleze wametumia kiasi gani kuendesha huu mradi wa kipigaji
 
Back
Top Bottom