Unalinganisha bongo na USA?Si kweli mkuu,
labda kama haukuwahi kusikia ile kesi kati ya FBI na Apple kuhusu kufungua simu ya yule gaidi aliuwa watu kwa risasi. yule gaidi alikua anatumia simu ya Iphone na Aple walikataa kuifungua simu yake.
jaribu kufuatilia.
Wacha kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga
Soma hapo bwasheeWacha kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga
We mataga unahitaji kutaga?Soma hapo bwashee
Taratibu manka [emoji23][emoji1787]We mataga unahitaji kutaga?
Safi sana... mimi nimeitupa chooningoja inyesheView attachment 1997048
Umekariri notisi kinachotakiwa ni Usalama wa taifa kuwa na secret contract na kampuni za simu wanawapa taarifa halafu wao wanatangaza publicly kuwa Wana software ya kudukua simu zote kukitokea isuue threat kwa Usalama wa nchi .Case closeTatizo ni kutoa taarifa bila amri ya mahakama dada YEHODAYA .
Hii maana yake ukimchukua bwana wa jirani yako ambaye ni afande mwanamke,huyo afande anaweza "kukuweka uchi" kwa kupata taarifa zako kiurahisi.
Hata Marekani iko hivyo Tena kule ni worse Hadi Bunge Lina order zake unazotakiwa ku comply YouTube walikiona Cha mtema kuni Bunge liliwabana Hadi kutia huruma ikabidi a comply.Sio mahakama Wala serikali .Bunge yaani fikiria Tigo wangeitwa bungeni hawajatukana Bunge Wala hawana business nao halafu wanakomaa wanasema we want this.Na aka comply. Ndio haya mambo ya registration za YouTube channel na licensing yakaibuka wakati owners walitaka iwe free platform ya watu ku express freely their views Kama freedom of speech requirementsTena alisisitiza wanafata order za gvt
Hata Marekani iko hivyo Tena kule ni worse Hadi Bunge Lina order zake unazotakiwa ku comply YouTube walikiona Cha mtema kuni Bunge liliwabana Hadi kutia huruma ikabidi a comply.Sio mahakama Wala serikali .Bunge yaani fikiria Tigo wangeitwa bungeni hawajatukana Bunge Wala hawana business nao halafu wanakomaa wanasema we want this.Na aka comply kuwa YouTube channel ziwe registered na owners wajulikane kwa licensingTena alisisitiza wanafata order za gvt
Huko marekani na china ugaidi unafadhiliwa kwa shilingi laki 5?????? Embu ficha ujinga wako bhana?? Huko marekani na china mashahidi wa ugaidi wanakuja mahakamani na tai???Hiyo ndio practice dunia nzima lazima ufanye hivyo hata uwe Marekani au Ulaya compliance lazima
Kazi za kampuni za simu pote duniani sio kutunza Siri za wahalifu na magaidi
You don’t know what you talking about! Umeonyesha uelewa mdogo sana kwa kutumia mfano huu wa mwenye nyumba ukilinganisha na taarifa za mteja kwenye kampuni kama ya Tigo.Polisi ni chombo Cha kisheria mfano wewe no jambazi umepanga nyumba unafanya matukio .Hawahitaji kibali Cha kumhoji mwenye nyumba wako kukukuhusu wewe Kama customer Ataitwa polisi au polisi watafika kwake kumhoji kuhusu huyo jambazi wake customer . Kwenye mitandao ya simu wewe mpangaji tu mwenye nyumba ni kampuni ya simu ukifanya uhalifu au ugaidi polisi ruksa kudai information kwa mwenye nyumba sababu sio kazi za mwenye nyumba kutunza Siri za jambazi au mhalifu au gaidi lazima atamwaga kila kitu
Issue sio amount kesi kibao mtu anatumwa kuua mbaya wake kwa elfu hamsini inategemea kiwango Cha umaskini alichonacho mhusikaHuko marekani na china ugaidi unafadhiliwa kwa shilingi laki 5?????? Embu ficha ujinga wako bhana?? Huko marekani na china mashahidi wa ugaidi wanakuja mahakamani na tai???
Mpangaji mteja .Mwenye nyumba kutoa Siri zako hahitaji kibali Cha mahakama kuzitoa polisiYou don’t know what you talking about! Umeonyesha uelewa mdogo sana kwa kutumia mfano huu wa mwenye nyumba ukilinganisha na taarifa za mteja kwenye kampuni kama ya Tigo.
IRRELEVANT!
Hiki kipengele ndiyo kimeharibu kabisa. Kama hiyo “legal purpose” ndiyo inaelezea ni kwa mazingira gani wanaweza ku share information za mteja, basi ni hovyo kabisa. Kwasababu kiko vague. Kwa muktadha wa kesi inayoendelea ya kina Mbowe, ni bora ingebakia hiyo ya “in the order of judicial authority”
“Legal Purposes: includes any treatment justified by the need to comply with applicable legal requirements, such as meeting a requirement of a governmental or administrative entity in the exercise of its functions or by order of a competent judicial authority”
Kwa kifupi kabisa, yule mwanasheria wao kilaza, yupo sahihi. Tigo ni wapuuzi kama jina lao. Ina maana kuwa, taasisi yoyote ya kiserikali, inaweza kupata taarifa za mteja wa Tigo kama wakizihitaji.
Hili suala ni la wananchi kulipinga kwa nguvu zetu zote.
Eti wanaweza kutoa taarifa zako just for “meeting a requirement of a governmental or administrative entity in the exercise of its function”
Bure kabisa Tigo.
Sawa mkuuHata Marekani iko hivyo Tena kule ni worse Hadi Bunge Lina order zake unazotakiwa ku comply YouTube walikiona Cha mtema kuni Bunge liliwabana Hadi kutia huruma ikabidi a comply.Sio mahakama Wala serikali .Bunge yaani fikiria Tigo wangeitwa bungeni hawajatukana Bunge Wala hawana business nao halafu wanakomaa wanasema we want this.Na aka comply. Ndio haya mambo ya registration za YouTube channel na licensing yakaibuka wakati owners walitaka iwe free platform ya watu ku express freely their views Kama freedom of speech requirements
Bunge likataka licensing na mtu ajulikane owner wa YouTube channel
umepagundua hapo safi sana,kwa mukhtadha huo wateja wa tigo tuko uchi tunapaswa kuamka maana hata sheria haikurahisisha namna hiyo kuhusu upatikanaji wa data.
Kwani ugaidi Una fadhiliwa Kwa kiasi gani hebu tuambie tujue,juzi Norway gaidi kauwa watu kadhaa Kwa kisu ambacho hata hakina thamani ya zaidi ya Dola moja (2300)Huko marekani na china ugaidi unafadhiliwa kwa shilingi laki 5?????? Embu ficha ujinga wako bhana?? Huko marekani na china mashahidi wa ugaidi wanakuja mahakamani na tai???
This is very sad indeed.Walau wewe umeliona tatizo lilipo,na usishangae kuwa sera hii ndiyo ipo Makampuni yote ya Simu hapa Tanzania.