Again, mfano ulioutoa ni irrelevant. Mwenye nyumba hajui ukitoka kwenye nyumba aliyokupangishia, unaenda kuonana na nani, unaenda kumlipa mtu gani, na wala hajui kuhusu miamala yako wala Safari zako. Tumia akili zaidi. Mfano wako ni wa hovyo kama kweli unataka kuutumia ili uweze ku justify upumbavu wa Tigo.Mpangaji mteja .Mwenye nyumba kutoa Siri zako hahitaji kibali Cha mahakama kuzitoa polisi
Laini za simu wewe mpangaji tu waweza wao au TCRA wakiamua wanakuzimia tu
Soma vizuri historia za wanaojilipua n sababu zao kwa taarifa tu hawajilipui kama walozi ni baada ya kuwa na imani iliyopotiliza juu ya jambo fulani ( fundamentalist)Issue sio amount kesi kibao mtu anatumwa kuua mbaya wake kwa elfu hamsini inategemea kiwango Cha umaskini alichonacho mhusika
Waganga wa kienyeji waweza mlipa elfu kumi akaua ukoo mzima kichawi
Pia wako magaidi wa kujilipua ambao hawahitaji hata kulipwa hata Mia anahitaji nauli tu na kuvalishwa mabomu ya kujilipua sembuse hiyo laki tano?
Hujui Kuna wanaojilipua bure bila kulipiwa hata Mia? Hiyo laki tano mbona nyingi sana
Ndio upelelezi wa polisi lazima u cooperate Kama customer wako ni mhalifu au jambazi au mhatarisha Usalama wa nchi .No way lazima utoe ushirikiano ndio maana mauaji yakitokea mfano ya Floyd kule Marekani owner wa supermarket alitoa ushahidi wake bila kibali Cha mahakama.Kifungu hiki ndo kinaibana Tigo
Applicable law and jurisdiction
The interpretation, use, scope and termination of this Notice is governed by the laws of the United Republic of Tanzania and, in case of dispute, the courts of Tanzania will have exclusive jurisdiction.
Yaani inamaanisha utekelezaji wa notice yao unaambatana na sheria za nchi, Sasa Tigo itueleze, je mpaka inatoa taarifa kwa polisi ilizingatia sheria za nchi?
Sawa hapo mwenye nyumba wako ni kampuni ya simu waweza panga nyumba,ukapanga sehemu ingine fremu ya duka na ukapanga sehemu ingine laini ya simu ya Tigo.Hapo mumiliki laini ya Tigo ambaye ni kampuni atamwaga mboga kukuhusu wewe mpangaji wa lineAgain, mfano ulioutoa ni irrelevant. Mwenye nyumba hajui ukitoka kwenye nyumba aliyokupangishia, unaenda kuonana na nani, unaenda kumlipa mtu gani, na wala hajui kuhusu miamala yako wala Safari zako. Tumia akili zaidi. Mfano wako ni wa hovyo kama kweli unataka kuutumia ili uweze ku justify upumbavu wa Tigo.
Fuatilia! Ni LAZIMA waende mahakamani kupata hicho kibali cha kufanya hivyo. Siyo tu kama ilivyo kwetu ambapo taasisi yoyote ya serikali inaweza kupatiwa information za mteja kama wakitaka. Tena jinsi ilivyokuwa vague. Hata polisi tu anaweza kwenda na kufanya hivyo.Hiyo ndio practice dunia nzima lazima ufanye hivyo hata uwe Marekani au Ulaya compliance lazima
Kazi za kampuni za simu pote duniani sio kutunza Siri za wahalifu na magaidi
Polisi hwako juu ya sheria, hata hatua zao za kutafuta ushahidi lazima wafuate sheria. Na sheria yenyewe ni lazima wpate kibali cha serikaliNdio upelelezi wa polisi lazima u cooperate Kama customer wako no mhalifu au jambazi au mhatarisha Usalama was nchi .No way lazima utoe ushirikiano ndio maana mauaji yakitokea mfano ya Floyd kule Marekani owner wa supermarket alitoa ushahidi wake bila kibali Cha mahakama.
Polisi ni law enforcement agent kukitokea tukio halifu hahitaji kwenda mahakamani kuomba kibali
Sio kweli hata sheria za kimataifa ziko nyingi hazihitajiFuatilia! Ni LAZIMA waende mahakamani kupata hicho kibali cha kufanya hivyo. Siyo tu kama ilivyo kwetu ambapo taasisi yoyote ya serikali inaweza kipato was information za mteja. Tena jinsi ilivyokuwa vague. Hata polisi tu anaweza kwenda na kufanya hivyo.
Hilo tatizo lipo hata kwenye mabenki. Na ndiyo maana mwendazake aliweza kuwachungulia wafanyabiashara jinsi anavyotaka!
Unalifahamu neno “fiduciary”?
Na gaidi wa Tanzania aweza jilipua kwa laki tano kwa misimamo mikali ya kisiasa iliyopitilizaSoma vizuri historia za wanaojilipua n sababu zao kwa taarifa tu hawajilipui kama walozi ni baada ya kuwa na imani iliyopotiliza juu ya jambo fulani ( fundamentalist)
Sheria gani za kimataifa unazungumzia? Ni lazima kuwepo na “warrant” ambayo huwa inatolewa na mahakama. Hata Mbowe walivyoenda kumshachi, ilikuwa ni lazima wawe na “search warrant” ambayo hutolewa na mahakama baada ya mahakama kujiridhisha. Hapa kwetu, kwa mujibu wa Tigo, polisi anaweza kwenda tu na barua ya kutaka information za Mteja...Kwa marekani Soma hapo chini kama unaelewa ukisoma...Sio kweli hata sheria za kimataifa ziko nyingi hazihitaji
Mfano Kuna sheria za kimataifa za money laundering hawahitaji kibali Cha mahakama yeyote duniani kukufuatilia na kupata information
Pia Kuna sheria za ushahidi hawahitaji kwenda mahakamani kumtaka shahidi aje a testify for or against mtuhumiwa bila kujali huyo mtuhumiwa ni customer wa mtuhumiwa au la.
Polisi hawezi kwenda kuchukua Data bila idhini ya Mahakama?!!....... tatizo la msing kwenye hili suala la tiGO ku-expose taarifa za wateja ni namna walivyo-expose! Walitakiwa ku-expose kwa amri ya mahakama ila kuto-expose kabisa isingewezekana. Suppose ni wewe umepata madhara na njia iliyosababisha madhara hayo ni kupitia mawasiliano ya simu na ushahidi wa madhara hayo njia pekee ya kuuthibitisha ni kupitia data kutoka mtandao husika; ungepinga kwamba wana-expose taarifa za wateja? Tuwe tu wakweli.
Hata hivyo kwamba Mbowe alituma mwamala tarehe fulani sio issue kwa sababu hakuna cha ajabu kwa Mbowe kufanya hivyo kama ambavyo wateja wengi wanafanya! Anyway, labda mashahidi na polisi watathibitisha fedha hizo zilitumika kufanya uhalifu. Ila ikumbukwe, Mbowe hajaanza kujitetea; huenda akabomoa kila aina ya ushahidi unaoelekezwa kwake! Mechi haijaanza, bado ni hatua ya "kupasha misuli".
Leo Mbowe na wenzake walionekana wakicheka mahakamani baada ya shahidi wa Jamhuri kushindwa kutokea; hiyo ni meseji kubwa sana.
Ulishawahi kuona mtu mwenye msimamomkali wa kisialsa uliopitiliza tz? Nenda pwani kawaulize wana CUF ile ya malallim watakwambia maana yake??? Yaani mtu awe na msimamo makali uliopitiliza wa kisiasa Afu alipwe afu atekeleze ugaidi?????Na gaidi wa Tanzania aweza jilipua kwa laki tano kwa misimamo mikali ya kisiasa iliyopitiliza
Kwa Tanzania naona inawezekana, lakini siyo kwa wenzetu...Polisi hawezi kwenda kuchukua Data bila idhini ya Mahakama?!!....
sijalinganisha bongo na USA, nimemjibu aliyelinganisha bongo na "mataifa yote duniani"Unalinganisha bongo na USA?
... tatizo la msing kwenye hili suala la tiGO ku-expose taarifa za wateja ni namna walivyo-expose! Walitakiwa ku-expose kwa amri ya mahakama ila kuto-expose kabisa isingewezekana. Suppose ni wewe umepata madhara na njia iliyosababisha madhara hayo ni kupitia mawasiliano ya simu na ushahidi wa madhara hayo njia pekee ya kuuthibitisha ni kupitia data kutoka mtandao husika; ungepinga kwamba wana-expose taarifa za wateja? Tuwe tu wakweli.
Hata hivyo kwamba Mbowe alituma mwamala tarehe fulani sio issue kwa sababu hakuna cha ajabu kwa Mbowe kufanya hivyo kama ambavyo wateja wengi wanafanya! Anyway, labda mashahidi na polisi watathibitisha fedha hizo zilitumika kufanya uhalifu. Ila ikumbukwe, Mbowe hajaanza kujitetea; huenda akabomoa kila aina ya ushahidi unaoelekezwa kwake! Mechi haijaanza, bado ni hatua ya "kupasha misuli".
Leo Mbowe na wenzake walionekana wakicheka mahakamani baada ya shahidi wa Jamhuri kushindwa kutokea; hiyo ni meseji kubwa sana.
TIGO imekua TIGO KweliTigo live it,Love it......
dudus point kubwa hapa ni namna data za mteja zinavyoweza kupatikana. Hili la miamala na utetezi wake wala siyo muhimu. Ni lazima data zipatikane kwa njia sahihi na kusiwe na loopholes zozote za kuweza kutumia ili kwenda kinyume. Malalamiko yametokea kwa sababu imeshakuwa kama utamaduni kwa kampuni za simu kutoa mawasiano ya wateja wao bila sababu za msingi wala njia zinazokubalika.... tatizo la msing kwenye hili suala la tiGO ku-expose taarifa za wateja ni namna walivyo-expose! Walitakiwa ku-expose kwa amri ya mahakama ila kuto-expose kabisa isingewezekana. Suppose ni wewe umepata madhara na njia iliyosababisha madhara hayo ni kupitia mawasiliano ya simu na ushahidi wa madhara hayo njia pekee ya kuuthibitisha ni kupitia data kutoka mtandao husika; ungepinga kwamba wana-expose taarifa za wateja? Tuwe tu wakweli.
Hata hivyo kwamba Mbowe alituma mwamala tarehe fulani sio issue kwa sababu hakuna cha ajabu kwa Mbowe kufanya hivyo kama ambavyo wateja wengi wanafanya! Anyway, labda mashahidi na polisi watathibitisha fedha hizo zilitumika kufanya uhalifu. Ila ikumbukwe, Mbowe hajaanza kujitetea; huenda akabomoa kila aina ya ushahidi unaoelekezwa kwake! Mechi haijaanza, bado ni hatua ya "kupasha misuli".
Leo Mbowe na wenzake walionekana wakicheka mahakamani baada ya shahidi wa Jamhuri kushindwa kutokea; hiyo ni meseji kubwa sana.
Mkuu umemaliza kila kitu. Umeelezea kisheria lakini kwa lugha ya kueleweka. Big up! NB: Hili jambo ni serious sana na linatakiwa lisiachwe hivi hivi. Ni watu wengi hawataona implication zake sasa hivi na wenye akili wanajua utaratibu ulitomika ni hovyo sana na usipokomeshwa tunakoelekea ni kubaya.You are very right ndugu dudus...
Kwa nyongeza tu mimi nime notice mambo kadhaa;
1. KWANZA; watu waelewe kuwa hakuna shida kwa mtu aitwaye Freddy Kapala kufanya kazi tiGO kama Mwanasheria au vyovyote vile...
2. PILI, watu hawana shida na mtu aitwaye Freddy Kapala kusimama mahakamani na ku - testify against Freeman Mbowe na wenzake...
3. Watu wana shida na njia iliyotumika kupatikana kwa ushahidi huo ambayo totally ni illegal kwa kumtumia shahidi huyo anayejiita Legal Advisor wa kampuni kubwa ya mawasiliano ya tiGO, bwana Freddy Kapala...
##Na hii ndiyo inayopelekea kila mtu kujiuliza maswali kadhaa ili kujua "nia" ya serikali kwa kuwatumia Polisi ni nini hasa kumfungulia Freeman Mbowe kesi hii iwapo ushahidi tu wa ku - incriminate wanautafuta kwa "tochi" na kwa kutumia njia haramu kinyume kabisa cha kanuni, sheria na katiba ya nchi...!
Mfano;
å Kwa maelezo ya Freddy Kapala mahakamani tunapata picha kuwa, the entire management ya tiGO/MIC Company haikuwa aware kuwa kampuni yao inahusishwa na kesi hii kubwa ya ugaidi kupitia mteja wao mmoja Freeman Mbowe isipokuwa mfanyakazi wao mmoja tu aitwaye Freddy Kapala...!!
å Hivi ilikuwaje barua toka Polisi anaipokea huyu huyu Freddy Kapala, kuifanyia kazi, kuijibu na kusaini na kugonga mihuri yote bila mtu mwingine yeyote ndani ya kampuni kuhusishwa tena jambo lenyewe likihusu UGAIDI...???
å Iliwezekanaje Polisi waindakie tiGO barua kutaka taarifa za mteja fulani (hapa ni Freeman Mbowe) bila kueleza sababu au kosa kisha tiGO kwa ujinga au kwa makusudi kupitia kwa Mwanasheria wao FREDDY KAPALA bila kuhoji mambo ya msingi wakafanya vile...???
å Kwa nini Polisi hawakutumia njia rasmi kupata taarifa au data za wanayemshuku kuwa ni mhalifu na badala yake wanatumia njia ya mlango wa nyuma? Yaani wanataka kuthibitisha fulani ni mhalifu/gaidi lakini wao mwenyewe Polisi wanatumia njia za kihalifu...??
å Kuna uhusiano gani kati ya Freddy Kapala na Polisi..???
HITIMISHO:
##Hii kitu si tu imevunja SERA ya faragha ya kampuni ya tiGO bali imevunja sheria na katiba ya nchi...!!
##Hapa tiGO ili kuepuka legal consequences dhidi ya tendo hili toka kwa mteja wao Freeman Mbowe, wana options 3 tu;
1. Aidha wamkane huyu Freddy kuwa siyo mfanyakazi wao
AU;
2. Ni mfanyakazi wao lakini amefanya yeye binafsi na kwa hiyo ni mhalifu kama wahalifu wa matandao (hachers) wengine wowote duniani
AU;
3. Wakae tayari kumlipa Freeman Mbowe mabilioni kadhaa ya shilingi kwa ku disclose faragha yake kinyume cha sheria!