Sera ya faragha MIC Tanzania Public Limited Company - tiGo

Hii ni hatari sana!
 
Kumbe hata sera zao za privacy hazimlindi mtumiaji.tigo sio mtandao kabisa
 
Muda muafaka wa kuiburuza TIGO mahakamani kwa uvunjaji wa sheria za siri za wateja wao, ningekuwa na line TIGO ningejitoa haraka sana, makampuni mengine ya simu yapigilie hapo kuchukua wateja wa TIGO na bango langu lingekuwa ile statement ya shahidi # 5 TUNATII ZAIDI MAMLAKA ZAIDI YA SIRI ZA WATEJA
 
Wala haya hayana sifa ya kuwa maoni. Huu ni ujinga wake.
 
Applicable law and jurisdiction

The interpretation, use, scope and termination of this Notice is governed by the laws of the United Republic of Tanzania and, in case of dispute, the courts of Tanzania will have exclusive jurisdiction.
 
Usahihi wako uko kwenye hisia na si sheria. Purely layperson. Kuna haki kuna wajibu. Naona uko mbali sana katika sheria.
 
Mara mia tigo kuliko voda.voda ndio wanaweza share taarifa zako na mtu yeyote hata muuza nguo online
 
Appicable law and jurisdiction

The interpretation, use, scope and termination of this Notice is governed by the laws of the United Republic of Tanzania and, in case of dispute, the courts of Tanzania will have exclusive jurisdiction.
 
Shukrani sana kiongozi; umehitimisha thread. Hata hivyo sentensi ya mwisho kabisa umegusia "faragha yake kinyume cha sheria".

Nina mashaka kama nchi hii ina sheria inayohusika na personal data protection.
 
Nadhani msingi wa malalamiko ni namna zilivyotolewa.
Kama ulivyosema kwa amri ya mahakama.
 
Sheria ya nchi inaruhusu Law Enforcement Agencies na Court kupewa taarifa yoyote wanayoitaka na wala hawalazimishwi kukueleza sababu ya kutaka taarifa hiyo. Someni sheria mbalimbali acheni kuwa utopolo kwa kila kitu! Hata Tigo hapo wameeleza vizuri. Na hii ni kwa duniani kote. Pia kumbuka Law Enforcement Agencies wanaweza kupata taarifa zako wakati wowote hata kama TIGO asipotaka acheni kupoteza muda kwa kitu ambacho ni obvious!!
 
Ila kusema kweli Tz ubongo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana!!?
They are full of jokes.......
Mamlaka si ndio inatoa leseni ya biashara....
Mlitaka yule shahidi aseme wanatii zaidi wateja kuliko mamlaka!!??
Kwani wewe unatakaje labda?

Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…