Uchaguzi 2020 Sera ya Majimbo ndio msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA kuelekea Oktoba 28

Huwezi nipangia matumizi ya bando [emoji1787]
Nalitumia ninavyotaka mimi mwenyewe

Sawa certified kilaza mwenzangu aliyepoteza ada shule.
 
Huwezi nipangia matumizi ya bando [emoji1787]
Nalitumia ninavyotaka mimi mwenyewe

Sawa certified kilaza mwenzangu aliyepoteza ada shule.
Hahahahaha ukiwa na jambo karibu nikupe shule. Naelewa sana UPE ni muhimu. Ila sio kosa lako, ni kosa la Ccm kuharibu elimu ya watanzania Ndo mana ukapatikana wewe na iyo akili yako😂
 
Hahahahaha ukiwa na jambo karibu nikupe shule. Naelewa sana UPE ni muhimu. Ila sio kosa lako, ni kosa la Ccm kuharibu elimu ya watanzania Ndo mana ukapatikana wewe na iyo akili yako[emoji23]
CCM umewaingiza vipi hapa???
Nilishakwambia sihitaji elimu yako...ningetaka kusoma ningekuwa nishaenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa Bora elimu ya Tanzania kuliko elimu yako uliyoipata mwisho wa siku umeishia kuwa hivyo.

Kwanza ngoja nikupe dera kabisa uvae ili tusutane vizuri
 
Chadema sera ya majimbo wangeicha maana ni kigawa nchi vipande vipande.
 
Chadema sera ya majimbo wangeicha maana ni kigawa nchi vipande vipande.
Sera ya majimbo haigawi nchi ila inaweka nchi pamoja na kuharakisha maendeleo ya kweli kwa watanzania wote!! Rasilimali za nchi zinatumika vizuri kwa maelekezo ya wananchi na mahitaji yao

Anaeigawa nchi vipande vipande ni Magufuli anaesema hatipeleka maendeleo kwa wapinzani wakati kila mtanzania analipa kodi na maendeleo si hisani ya Raisi
 
Kumbe ndo tuwajinga ivi,,,,kwaiyo kila aliyejiunga mwaka huu mwezi wa nane ni wa Lumumba ,kumbe inaonekana unanifahamu hadi ninapolala hahaha Leo ndo nimeona ujinga kichwani kwa mtu,kumbe watu hawaruhusiwi kuhoji kipindi cha uchaguzi
 
Lazima niwaingize CCM kwa sababu akili yako ni matokeo ya mfumo wao mbovu wa elimu !!!

Haiwezekani binadamu mwenye akili Nzuri uliesoma elimu bora uje useme humu unaitaji visa toka jimbo moja hadi lingine kwenye mfumo wa majimbo 😂😂😂😂😂

CCM wana laana sana kwa kweli!!!

Yaani mzee pamoja na kutoa boko Ila bado unajimwamvafai humu!!! Chutamaaaa mzee umeaibikaaaa 😂😂😂😂
 
Kumbe ndo tuwajinga ivi,,,,kwaiyo kila aliyejiunga mwaka huu mwezi wa nane ni wa Lumumba ,kumbe inaonekana unanifahamu hadi ninapolala hahaha Leo ndo nimeona ujinga kichwani kwa mtu,kumbe watu hawaruhusiwi kuhoji kipindi cha uchaguzi
Wenyeji humu tunajua id za kimkakati ni zipi!! Umechelewaaa saaana!!
 
Delete ccm Oct 28
 
Nimeanza kusoma nikafikiri kuna cha maana kumbe ni debe la bangi.
 
K​
Wenyeji humu tunajua id za kimkakati ni zipi!! Umechelewaaa saaana!!
hahaha kumbe wanaojiunga mwaka wa uchaguzi ni kijani pure,unajishtukia sana hahaha kumbe umetawaliwa na hisia zaid kuliko kufikiri sawasawa,huwaga nafurahi sana mtu yupo nyuma ya keyboard afu anakuchukulia tofauti na uhalisia wako well,,ila siku nyingne punguza mhemko siyo kila post unacomment negative fikiri kabla ya kutype ok
 
Op(out of point) kasome uz upya
 
Acha porojo mkuu afu hukuwa na haja ya kuandika gazeti refu hivi... Mtu ni jaji wa mahakama kuu pale Kisutu so kwa vile ni mKLM ataachishwa kazi ama vipi... Ndio maana nasema mnakurupikia jambo ambalo hamjalielewa.
Ataenda kuwa jaji mahakama ya Jimbo lake la Kilimanjaro kesi zote za majimbo zitaishia huko huko majimboni kasoro kesi za mambo tu ya Muungano Kama vile za katiba ndizo zitapelekwa mahakama katiba ya nchi

Majaji wa kesi zingine sijui za wizi sijui au mauaji,ubakaji nk wataenda Kwao kwenye majimbo wakahukumu huko na watalipwa na majimbo Yao sio serikali kuu

Mahakama kuu itabaki na kesi za kitaifa tu zinazohusu taifa Kama taifa tu

Muundo wa majimbo ukianza na muundo wa mahakama unabadilika haubaki ulivyo Sasa.Maeneo yote yanabadilika kuanzia serikali,Bunge na mahakama mifumo inabadilika

Sera ya majimbo haigawi nchi tu pia inagawa Bunge, serikali na mahakama mihimili yote inakatwa mapanga vipande vipande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…