Sera ya 'Maridhiano' ya Samia Suluhu inarudisha wizi Serikalini

Mwenyezi Mungu apewe sifa na utukufu.
 
Wanyonge ni watu wa kipekee!πŸ˜…πŸ˜‚
Tuwaangalie kwa jicho tofauti!

Everyday is Saturday..............................😎
 
Wanyonge ni watu wa kipekee!πŸ˜…πŸ˜‚
Tuwaangalie kwa jicho tofauti!

Everyday is Saturday..............................😎
Wanyonge ni janga la taifa!! Watu walishakatishwa tamaa na wakakubali kukata tamaa hata kujivika unyonge wasiotaka kuuvua!!
Malofa na wapumbavu... alijisemea yule mzee!!
 
Umeandika Takataka
 
Wakati wa magu wezi waliiba vizuri, Ila wakati huu wezi wanaiba vibaya
 
Kipindi cha mwendazake fedha zilikuwa zinaibwa sana tu,rejea ripoti ya CAG.
Wacheni kazi iendelee.
Go Mama Go
ni watz tu ambao naona mindset zetu ziko tenge.huwezishabikia wezi wakati wananchi wengi hasa huko vijijini wanakufa kwa kukosa hata panadol.ndo maana hata elimu zetu hizi hazitusaidii kutuvusha popote.zimekuwa elimu za vitabuni ambayo haiakisi uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…