mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mpaka kufika 2035 huko watoto wote watakuwa washatinduliwa kote koteAisee Basata ifungiwe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kufika 2035 huko watoto wote watakuwa washatinduliwa kote koteAisee Basata ifungiwe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake
Watoto sahv nawaonea huruma maana hali si haliYaan tuendako ni bora kupata watoto wa kike tuu...nimekaona katoto ka kiume kanacheza wimbo wa Zuchu unaitwaje cjui sasa pale anapoimba miuno sijui vibuno kitoto hata miaka 3 sizan kama kamefikisha...kanakatika haswa
Ngoja apate mshangazi sasaNyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "
Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "
Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.
Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
Anaweza kusikia kwa jirani au sehemu nyingine yoyote.Kosa ni lako. Usiwawekee watoto nyumba za miziki ya hovyo, wawekee nyimbo za dini
Huyo basata ataamka akisikia wimbo unaponda serikali au ccm.Hivi huyu bado yupo
Wenyewe wanakuambia soko ndiyo linahitaji hili,yaani watu wengi wanapenda kusikiaa hayaHuyo basata ataamka akisikia wimbo unaponda serikali au ccm.
Saivi wazazi kazi tunayo asiposikia kwako atasikia mtaaniNyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "
Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "
Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.
Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
serikali haiwezi kukusaidia kuleaNyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "
Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "
Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.
Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
Mshike huyo hatoki mtu, nimempakia mkongo hatoki mtuNa ule wa ameyatimba 🫣🫣
Hana Cha kufanya. CCM ndio wafadhili wakuu wa uchafu wote huu
Kweli kabisa naona hii kitu ni kuituzama tu,acha watoto waharibike tu...Hana Cha kufanya. CCM ndio wafadhili wakuu wa uchafu wote huu
😢😢😢😢😢😢😢 So sadWenyewe wanakuambia soko ndiyo linahitaji hili,yaani watu wengi wanapenda kusikiaa haya
Mambo
Ova
Watoto wakiwa kwenye maskull bus wanaimba nasikia nyee-gg nye-eg 😄😢😢😢😢😢😢😢 So sad