Serekali pigeni marufuku huu wimbo, unaniaribia watoto

Serekali pigeni marufuku huu wimbo, unaniaribia watoto

Yaan tuendako ni bora kupata watoto wa kike tuu...nimekaona katoto ka kiume kanacheza wimbo wa Zuchu unaitwaje cjui sasa pale anapoimba miuno sijui vibuno kitoto hata miaka 3 sizan kama kamefikisha...kanakatika haswa
Watoto sahv nawaonea huruma maana hali si hali

Ova
 
Utawasikiaa watoto wanaimbaaa natoa mku-----n---d

Ova
 
Kwakweli hali ni mbaya,wasanii,mitandao ya kijamii ,watu maarufu wanalipeleka taifa papaya sana
Mungu atusimamie
 
E
Nyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "

Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "

Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.

Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
Ngoja apate mshangazi sasa
 
Nyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "

Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "

Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.

Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
Saivi wazazi kazi tunayo asiposikia kwako atasikia mtaani
 
Nyimbo sijui Nani kaimba ila Ni nyimbo maarufu Sana tu " huu mwaka eeh "

Nikinukuu baadhi ya verse
" Ukipata jimama likoboee ,likupe pesa utoboe "

Sasa mttoto amekuwa ikiimba Sana hi verse. Na kwa kwa kifupi haina maaadili na nyimbo Ni nzuri ila msatari huu ktk wimbo siyo siyo mzuri.

Haya Ni maneno ya Bab mwenye nyumba akilalamikia wimbo huu kukosa maadili
serikali haiwezi kukusaidia kulea
 
Kosa ni lako walee wanao usipowalea Dunia itawalea.
 
Juzi nimeamua kufuta App ya Facebook, yaan kila ukiingia lazima ukute picha chafu, hii speed ya dunia ni hatari. Hakika tukae mkao wa kula hiki kizazi.......
 
Kuna siku napita zangu chocho la mtaa. Nikakuta vitoto vya kike vya primary vinacheza ile michezo wanayochezaga wadada wa baikoko kukatika nyonga huku umeweka msamba, na kukatikia sakafu.

Aiseee haya mambo yanaumiza sana moyo.
 
Back
Top Bottom