Hakuna haja ya kupiga marufuku bali wasanii ndio waambiwe wawe wanatoa version kama mbili explicit (kama walivyoegemea na soko walilolenga) yenye parental guidance na yingine redio version ambayo wana-mute sehemu ambazo zina ukakasi....; Kwahio redio version itakuwa kwa watu wote na nyingine explicit ni kwa ajili ya adults / au yoyote ile ina caution... (Parental Guidance Explicit Material)