Serekali pigeni marufuku huu wimbo, unaniaribia watoto

Kanajipitisha Kwa Wahuni Na Hakatoi Code..., Kwa UTAMU Gani Si Taupata Hata Kwa..................πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Uzunguni huwa wanaweka hii nembo kwa nyimbo ambazo hazifai kusikilizwa na watoto. Sasa BASATA nao wanatakiwa kuja na nembo kama hiyo ya kiswahili. Wanipe tenda ya kubuni hiyo nembo.

 
Hakuna haja ya kupiga marufuku bali wasanii ndio waambiwe wawe wanatoa version kama mbili explicit (kama walivyoegemea na soko walilolenga) yenye parental guidance na yingine redio version ambayo wana-mute sehemu ambazo zina ukakasi....; Kwahio redio version itakuwa kwa watu wote na nyingine explicit ni kwa ajili ya adults / au yoyote ile ina caution... (Parental Guidance Explicit Material)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…