Serena Williams apanda jukwaani kumsapoti Kendrick ili kumuumiza X wake Drake

Serena Williams apanda jukwaani kumsapoti Kendrick ili kumuumiza X wake Drake

Nimeamini mwanamke anaumia sana kuachwa na mwana anayempenda 😄


Kama mnavyojua Drake ni muhuni afu mwana, Serena Williams alimtongoza mwana akamwaga tui la nazi kisha akapiga chini ilimuuma sana Serene hadi akachukia Black akaolewa na mzungu

Sasa bi dada kidonda hakijapona jana Kendrick aki-perform kwenye halftime show
Serena Williams alipanda jukwaan kumsindikiza msanii huyo anayepewa hype za uongo akiperfom Not like us dis track kwa Drake

Sikujua kama Kendrick na William ni wajinga hivyo asee

Kuanzia leo nafuta ngoma zote za Kendrick pumbavu huyu🤔🤔
Ushazifuta? Kama umezifuta basi vizuri!
 
Nimeamini mwanamke anaumia sana kuachwa na mwana anayempenda 😄


Kama mnavyojua Drake ni muhuni afu mwana, Serena Williams alimtongoza mwana akamwaga tui la nazi kisha akapiga chini ilimuuma sana Serene hadi akachukia Black akaolewa na mzungu

Sasa bi dada kidonda hakijapona jana Kendrick aki-perform kwenye halftime show
Serena Williams alipanda jukwaan kumsindikiza msanii huyo anayepewa hype za uongo akiperfom Not like us dis track kwa Drake

Sikujua kama Kendrick na William ni wajinga hivyo asee

Kuanzia leo nafuta ngoma zote za Kendrick pumbavu huyu🤔🤔
Wewe mchele kibua huwezi kumuelewa Kendrick. Ngoma za Kdot wanasikiliza wanaume mashababi.

Unafikiri mtoto mchele mchele kama wewe unaweza kuwa na ngoma kama hii kwenye device yako!?

View: https://youtu.be/4wZytWFm7x0?si=raecXwNbhmjqfxL_
Faaaah mchezo nini!?

Weeh endelea na ma-toosie slide. Kazi za Kdot tuachie baba zako.
 
He is hyped for reasons. Drake was also hyped to have more Grammys now the sand has shifted. Halafu kuna black wanamuina Drake siyo mwenzao. Besides, the diss is not that a hit. His flow is totally a wack to me. Ila ndo wakati wake huu muache atambe.
Mimi kusema kweli nilihisi labda ndo sielewi muziki, jamaa flow na verse zake sijaona cha ajabu alichofanya. Naona anaimba mistari mirefu kiasi kwamba sometimea anakuwa offbeaat labda ni style.
Sema kila zama na mfalme wake hata wakati drake yuko kwenye peak watu walidai amekuwa hyped
 
Mimi kusema kweli nilihisi labda ndo sielewi muziki, jamaa flow na verse zake sijaona cha ajabu alichofanya. Naona anaimba mistari mirefu kiasi kwamba sometimea anakuwa offbeaat labda ni style.
Sema kila zama na mfalme wake hata wakati drake yuko kwenye peak watu walidai amekuwa hyped
Okay!!!
Flow na verse za msanii gani unazielewa na unaona zina maajabu?
 
Huku sasa ndio kujipa umuhimu......
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom