Mimi si mfuatiliaji sana wa muzikiwa kizazi hiki ilanyimbo moja moja naweza kukutana nayo ikanifurahisha. So, hiyo ngoma ya not like us si kati ya nyimbo ambayo nimeona ina maajabu makubwa sawa na hype iliyopata. Ndiyo maana nilihisi huenda siyo muziki wa kizazi changu.Okay!!!
Flow na verse za msanii gani unazielewa na unaona zina maajabu?
Unapenda muziki wa hiphop?Mimi si mfuatiliaji sana wa muzikiwa kizazi hiki ilanyimbo moja moja naweza kukutana nayo ikanifurahisha. So, hiyo ngoma ya not like us si kati ya nyimbo ambayo nimeona ina maajabu makubwa sawa na hype iliyopata. Ndiyo maana nilihisi huenda siyo muziki wa kizazi changu.
Napenda kila aina ya muziki as long as it sounds good in my ears. Naweza penda flow, beat, lyrics hivyo. But mostly najikuta napenda nyimbo za late 90s hadi 2015 hivi zaidi.Unapenda muziki wa hiphop?
Okay!Napenda kila aina ya muziki as long as it sounds good in my ears. Naweza penda flow, beat, lyrics hivyo. But mostly najikuta napenda nyimbo za late 90s hadi 2015 hivi zaidi.
Ngoma za akina 2pac, Eve E, Fedro Starr, Coolio, DMX, akina kanye west, jay z, yani watu wa error hiyo. Hata hapa nasikiliza ngoma za Eve.
Lakini pia kuna ngoma za drake nazipenda kama God's plan, shot for me n.k.
Hii ni sawa na mwizi aliyekua anakuibia kila siku atangaze kuacha kukuibia.Anahisi akizifuta itamuuma sana Kendrick, as if they're buddies.
Kendrick wa hovyo sana kama kishungi cha kiwi
Nimemvua nyota zote kwanza anabebwa sio mkali km anavyotqjwaKendrick msenge sana
Drake hajawahi kubebwa km kendrickHe is hyped for reasons. Drake was also hyped to have more Grammys now the sand has shifted. Halafu kuna black wanamuina Drake siyo mwenzao. Besides, the diss is not that a hit. His flow is totally a wack to me. Ila ndo wakati wake huu muache atambe.
Insane 😡Wewe mchele kibua huwezi kumuelewa Kendrick. Ngoma za Kdot wanasikiliza wanaume mashababi.
Unafikiri mtoto mchele mchele kama wewe unaweza kuwa na ngoma kama hii kwenye device yako!?
View: https://youtu.be/4wZytWFm7x0?si=raecXwNbhmjqfxL_Faaaah mchezo nini!?
Weeh endelea na ma-toosie slide. Kazi za Kdot tuachie baba zako.
He is not our king,drake still runningMimi kusema kweli nilihisi labda ndo sielewi muziki, jamaa flow na verse zake sijaona cha ajabu alichofanya. Naona anaimba mistari mirefu kiasi kwamba sometimea anakuwa offbeaat labda ni style.
Sema kila zama na mfalme wake hata wakati drake yuko kwenye peak watu walidai amekuwa hyped
Sisi ndio fanbase akizingua tunampotezaHuku sasa ndio kujipa umuhimu......
🤣🤣🤣
kwa hiyp lamar anapiga show kwa serena ama?Nimeamini mwanamke anaumia sana kuachwa na mwana anayempenda 😄
Kama mnavyojua Drake ni muhuni afu mwana, Serena Williams alimtongoza mwana akamwaga tui la nazi kisha akapiga chini ilimuuma sana Serene hadi akachukia Black akaolewa na mzungu
Sasa bi dada kidonda hakijapona jana Kendrick aki-perform kwenye halftime show
Serena Williams alipanda jukwaan kumsindikiza msanii huyo anayepewa hype za uongo akiperfom Not like us dis track kwa Drake
Sikujua kama Kendrick na William ni wajinga hivyo asee
Kuanzia leo nafuta ngoma zote za Kendrick pumbavu huyu🤔🤔
Insane 😡
Sio Grammy tu!
Kirapa kifupi.utafkr kinatoka kigoma😄😄😄
Temporary pleasure mtapotea soonSio Grammy tu!
Records nyingi zinaendelea kuvunjwa na mwamba kupitia diss track.
View attachment 3233763