Miaka 18 ni "TOO YOUNG"⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️Happy was too young to get married na inaonyesha alilazimishwa kuolewa kwa kuwa tu kwao zilipelekwa ng’ombe in exchange for her. There was no love between them. Ndoa za kulazimisha hazilipi
Kwa nin asingetoroka?Hahaha utajadiliwa humu...mie nimependa..ya nn kujitesa nafsi jamani!huyu hata akienda magereza hataumia kihivyoo..maana wanaume wanatesa sana sana
Shetani yupo piaDuh huyu binti ana roho ngumu.
Hiyo picha ya profile yako watoto wa wapi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Sina binti ndo ubaya uko hapo...! Hapa nawafundishaga wanangu(boys) ujeda ujeda sipend udhaifu dhaifu...janaume likiwa dhaifu ua endelea na life[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]! Dume linatakiwa kuwa konk kama assad bwan wee...haliogop linasanuka tu[emoji3059][emoji3059][emoji3059]..sio mwanaume hovyooooooooo kama ndugai[emoji33]
Mijanamke ya mikoa hiyo sijui ipoje km sio wanawake hv mwanamke wa pwani anapata wapi ujasiri wa kumchinja mtu kwa panga kwanza hata kulinyanyua tu panga lenyewe hawawezi sikubaliani na ndoa za kulazimishana lakini si kufikia kuuana zipo njia kadha wa kadha
Na tusisahau kunywa kahawa usikuwanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
Atakua alilazimishwa kuolewa. Mleta habari kasema alirudi nyumbani wazazi wakasema umeshatolewa mahari hatuwezi rudisha ng'ombe.
Duuh!Good
Huyu kalazimishwa kuolewa, tofautisha na mkipendana wenyewe. Ukikua utatafuta mke bila kulazimishwa...muda wako haujafika.Hafu kazini majitu utasikia "Mad unaoa lini, umri unaenda!"
Ushahidi kuwa alibakwa uko wapi au utakuwa upi?.Akimpata Hakimu mstalabu na Tamwa wakimsaidia hiyo kesi hafungwi zaidi ya miaka 10,sababu alikuwa anabakwa hayakuwa mapenzi ya hiyari yake hapo
Babe tukichomwa mikaa sisi hamsemi .tukiua mnakuja duh😑! Nimekumis nikajiapiza na kujinuiza sitakutafta tena na ole wako nikifa usije nizika😶! Ila waha mna maringo jamani 😡😡😡..mngepata ziwa victoria kubwa kama kwetu si tungekufa jamani😆Duuh!
🤣🤣🤣🤣wanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
Bora ww umefikiria kiume....nimekupenda bure..ukiwa hujanywa kumbe zinachajiHuyu inaelekea mwanaume alikuwa anamu abuse sana
Ova