Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Akili za usk hiziUnaniogopesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za usk hiziUnaniogopesha
Amani ya moyo wake ni muhimu hajali gereza wala mateso yakeHaoni kama amekosea kabisa, yaani hata wakimfunga atafurahi tu...inaonekana alilazimishwa sana
Duh[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]Aya sasa kama movie za wrong turn
Unazania watu wa mara ni kama watu wa dar? Tena hapo wenda aliomba na togwa kama ipo ashushie
Good
Nyie si ndo mnapewaga dawa bar mnazima wanakomba kila kitu?Tobaa! Hii ndio sababu napenda makahaba, unalipa shughuli imeisha hakuna masuala ya kusumbuana au kuhofu kuuana... naenda na fixed amount ili kama akinifanyia tofauti hapati zaidi ya hela yake ya halali
😆😆😆😆! Sina binti ndo ubaya uko hapo...! Hapa nawafundishaga wanangu(boys) ujeda ujeda sipend udhaifu dhaifu...janaume likiwa dhaifu ua endelea na life😖😖😖😖😖😖! Dume linatakiwa kuwa konk kama assad bwan wee...haliogop linasanuka tu🥰🥰🥰..sio mwanaume hovyooooooooo kama ndugai😱Future mama mkwe detected !!..
😆😆😆😆! Sina binti ndo ubaya uko hapo...! Hapa nawafundishaga wanangu(boys) ujeda ujeda sipend udhaifu dhaifu...janaume likiwa dhaifu ua endelea na life😖😖😖😖😖😖! Dume linatakiwa kuwa konk kama assad bwan wee...haliogop linasanuka tu🥰🥰🥰..sio mwanaume hovyooooooooo kama ndugai😱
😂kweli, ila jamaa angemfikisha kileleni asingekufa, tatizo kapiga zile za chwaaa chwaa chwaaa kamalizaPiga muziki heavy alale yeye kwanza kisha ukalisake panga lake 🤣🤣🤣🤣
Kuniwekea dawa bar ni ngumu sana! and by the way makahaba ninaochukua sio wale wa kutongoza nachukua wenye price tags, kwamba ni Tsh ... kwa round! Sio nimtongoze barmeid au mazni wa bar.. no neverNyie si ndo mnapewaga dawa bar mnazima wanakomba kila kitu?
😂kweli, ila jamaa angemfikisha kileleni asingekufa, tatizo kapiga zile za chwaaa chwaa chwaaa kamaliza
Huyu mwanamke alimuua mbakaji sio mume
'Haki' ikitendeka huyo binti ahamie mbali kabisa kusiko julikana na abadili majina yake.. maana hapo kijijini kwao hawezi kukaa salama!Si-shabikii kitendo alicho fanya huyu binti; lakini, kua forced kufanya mapenzi na mtu usie mpenda na hatakama unamjua, ni sexual assault. Wakina dada wendi especially vijijini wana jiua kutokana na tabia hii ya wazazi/mila kulazimisha ndoa...
Hapa ndio kwenye tatizo na nisababu mwanamke akakimbia mara ya kwanza..😂kweli, ila jamaa angemfikisha kileleni asingekufa, tatizo kapiga zile za chwaaa chwaa chwaaa kamaliza
Anahitaji msaada wa kisheria... Mwenye kuweza msaidia amsaidie. Hapo akipata wakili atapata kifungo kidogo.Huyo mtoto ameingia kwenye ndoa akili haijakomaa, ataanza kujutia akiwa jela baada ya miaka miwili
Mijanamke ya mikoa hiyo sijui ipoje km sio wanawake hv mwanamke wa pwani anapata wapi ujasiri wa kumchinja mtu kwa panga kwanza hata kulinyanyua tu panga lenyewe hawawezi sikubaliani na ndoa za kulazimishana lakini si kufikia kuuana zipo njia kadha wa kadhaUwiii...kuwa na mtu usiyempenda inakera sana! Ila sio kuua jamani hata angetoroka tu
Huoni jina hilo? Wanawake wa hukohuko hao wako tofauti sana na wanawake tunaowafahamuSorry! Shemeji yuko hai?