Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alishafariki muda mkuu! Vipi amefufuka umemuona huko??Sorry! Shemeji yuko hai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishafariki muda mkuu! Vipi amefufuka umemuona huko??Sorry! Shemeji yuko hai?
Hawa ni kabila lile la "mama bhoke, mapenzi ya kurambana rambana mie siyawezi, we rara nikurenge"
Ametupunguzia keroHahahah
Mbona good tena boss wngu
Ova
Kwa spidi hii hata ikitokea amefufuka siwezi kukuambia, itabidi tumfiche...ha! ha!Alishafariki muda mkuu! Vipi amefufuka umemuona huko??
😀😀😀......Kwa spidi hii hata ikitokea amefufuka siwezi kukuambia, itabidi tumfiche...ha! ha!
Tobaa! Hii ndio sababu napenda makahaba, unalipa shughuli imeisha hakuna masuala ya kusumbuana au kuhofu kuuana... naenda na fixed amount ili kama akinifanyia tofauti hapati zaidi ya hela yake ya halaliAmetupunguzia kero
Kwa kweli itungwe sheria kabla ya ndoa wahusika wapimwe akili huyu binti hakuwa sawa.Serengeti. Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
"Ameulizwa na kusema bila hofu na kuwaonyesha panga alilokuwa ameficha..., tangu wamefunga ndoa wamekuwa katika mgogoro mkubwa. Happy alirudi kwao kwa madai kuwa hamtaki mumewe lakini huko kwao wakamlazimisha arudi kwa mumewe kwa maelezo kuwa hawawezi kurudisha ng'ombe waliochukua wakati wakimuozesha," amesema.
Masirori amesema wakati watu wakilia na kusikitika kutokana na tukio hilo, mtuhumiwa hakuwa na wasiwasi na aliwataka wasiojua wamtazame vizuri.
MWANANCHI
Hahahahawanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
😂kimeumanaHahahaha
UnaniogopeshaGood
kabisa, jamaa katangulia kimchezo mchezo tu, yani ni kuviziana sahivi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Kuwa macho mda wote
Du... Love and Hate two sides of the same coin.Serengeti. Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
"Ameulizwa na kusema bila hofu na kuwaonyesha panga alilokuwa ameficha..., tangu wamefunga ndoa wamekuwa katika mgogoro mkubwa. Happy alirudi kwao kwa madai kuwa hamtaki mumewe lakini huko kwao wakamlazimisha arudi kwa mumewe kwa maelezo kuwa hawawezi kurudisha ng'ombe waliochukua wakati wakimuozesha," amesema.
Masirori amesema wakati watu wakilia na kusikitika kutokana na tukio hilo, mtuhumiwa hakuwa na wasiwasi na aliwataka wasiojua wamtazame vizuri.
MWANANCHI
inakuwa kama ile story jamaa kaenda zenji anaambiwa "yakhee mbona hulali" yupo macho anasubiri wenyeji walaleKweli aisee tusubiri waanze kulala wao
What is good about this? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Good
Serengeti. Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
"Ameulizwa na kusema bila hofu na kuwaonyesha panga alilokuwa ameficha..., tangu wamefunga ndoa wamekuwa katika mgogoro mkubwa. Happy alirudi kwao kwa madai kuwa hamtaki mumewe lakini huko kwao wakamlazimisha arudi kwa mumewe kwa maelezo kuwa hawawezi kurudisha ng'ombe waliochukua wakati wakimuozesha," amesema.
Masirori amesema wakati watu wakilia na kusikitika kutokana na tukio hilo, mtuhumiwa hakuwa na wasiwasi na aliwataka wasiojua wamtazame vizuri.
MWANANCHI
😂kimeumana
Kitendo cha mtuhumiwa Kula baada ya kutenda mauwaji hakika hata Shetani alishangaa😂kimeumana
wanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
I felt soo lovelyWhat is good about this? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]